Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
Kufanya ngono ovyo na watu tofauti.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jibu rahisi ni kwamba wanawake wana 'malango' mengi kuliko wanaume...
Ila kutoka katika heading yako ningependa nami kukuuliza, je wanawake wengi/wachache wa zamani hawakuwa wakipatwa na hali hii?
Haya Makanisa na Wachungaji Uchwar ndio shida