Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
most of them kuhangaika sana kwenda kwa waganga....na c unajua 'pepo hatoi pepo' hope umenisoma.
though zopo na sabb nyingine nyingi tu
though zopo na sabb nyingine nyingi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
Kufanya ngono ovyo na watu tofauti.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jibu rahisi ni kwamba wanawake wana 'malango' mengi kuliko wanaume...
Ila kutoka katika heading yako ningependa nami kukuuliza, je wanawake wengi/wachache wa zamani hawakuwa wakipatwa na hali hii?
Haya Makanisa na Wachungaji Uchwar ndio shida