MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Nasisitiza tena ndugu yangu,hatulazimishani kuamini,tunapeana hoja ili kila mmoja apime kwa uelewa wake.

Acha kubishana hapa Rudi kule kwenye ule uzi wako, ulikoahidi ahadi tele tukakusubiri wee bila mafanikio
 
Endeleeni kuandika mi naenjoy kusoma mnachoandka tu hahahahahahah
 
Ameuliza swali gumu wadau wanatoa majibu mepesi,ningekua na muda ningekupa majibu ya kisomi,tatizo hili linawakuta wanawake zaidi kwakuwa wao ndo wanakabiliwa na changamoto nyingi na ngumu zaidi za kimaisha na utatuziwake unapokuwa mgumu na kukata tamaa akili inashindwa kupata njia mbadala ya kupambana na tatizo hivyo kupokea jambo au kashindwa kulitafsiri jambo kama lilivyo na kulitafsiri tofauti.....hiyo ni kwa ufupi.Nitaendelea kushirikiana nanyi kutoa elimu zaidi ili muweze kuisaidia jamii....ahsanteni.
 
Mapepo haya ni kwa waafrika tu? Mbona Ulaya ambako kuna zaidi ya hayo hawana mapepo? R u great thinker realy?
 
Kuanguka maana yake ni kama ulikuwa na msimamo fulan juu ya jambo fulan mfano wa din au kukataa pombe sasa siku akienda kinyume chake bhas hapo kaanguka...katika iman..

ccm inakuharibu akili wewe acha ujinga
Huyo Fox msiwe mnahangaika naye, robo saa mbele huyo, makao yake baharini
 


sasa ndugu ukisema wanakabiliwa na changamoto nyingi na ngumu za kimaisha, sasa tukijaribu kuchunguza mashuleni unakuta wasichana kwa kias kikubwa ndiyo wao hukumbwa na mapepo {kuanguka au kupagawa}, lakin sote tunajua wanafunzi wanaudumiwa na wazazi\walezi wao.Je, ni changamoto zipi za kimaisha wanazokabiliana nazo angali wako shule? ikiwa mahitaji yote wanapewa na wazazi\walez wao.
 

mbona hoja ya kichwa kikubwa inafaida au ni kwamba hujamuelewa au ndio kuendeleza ule utamaduni wa wengi humu Jf kuwa kuwabishi.
Tena hoja ni ya ukweli kabisa na kama hauna majibu ungekaa kimya.
Nadhani jibu lako ndio halina tija zaidi,hivi haujui hilo ni tatizo ktk jamii na jamaa anataka kujua kwanini ?
Kama hauna jibu bora unyamaze wenye majibu watajibu.
 
Last edited by a moderator:

People with ,'free mind',
Santiiiiii!
 

Rejea uumbaji, Mungu alimuumba mtu mume na kutoka katika mbavu zake akamuumba mtu mke,kwahiyo Vyovyote vile iwavyo mwanamke ni sehemu ya mwanaume na mwanaume ni sehemu ya Mungu

Ishu ya Eden shetani alimtumia mwanamke na tangu hapo laana ilitamalaki kwa mwanamke... Kwahiyo Mungu alimtumia Adam kumuumba mwanamke shetani akazunguka akamtumia mwanamke kumrubuni Adam...hii ni phenomenon ya ajabu
 

Kwa haya majibu hakuna ubishi kabisa
 
Nikweli ndg unachooongea,jaribu kufanya uchunguzi kwa familia zinazopatwa na matatitizo hayo...kwa upande wa wanafunzi mtoto wa kike anakabiliwa na hofu sana hasa pale anapoandamwa na na vitisho kutoka kwa mazi,mwalimu na ukwepaji wao ktk shughuli mbalimbali ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kiume ambao kukwepa au kuingia mitini ni jambo jepesi kwao......mambo yako mengi ndg yangu siwezi kuongea yote,hata mimi ni mwl. shule yangu iliatwa na matatizo hayo sana lakini baada ya kumwsita mtaalam na kubainisha mambo mengi mno nilikubaliana naye.......nitaendelea kuchangia kwa kadr nitakavyopata wasaa ahsante kwa mada nzuri......
 

Akhasante tunashukuru kwa mchango, japokuwa bado tunahitaji MAJIBU na MAJAWABU zaidi ya kufanya kila mmoja wetu akaelewa vema na kwa usahihi uliotimilifu.
 
Nijuavyo mimi ni kwamba:
1. Vipodozi vingi vya wanawake vina attract mapepo, hii ni pamoja na perfumes
2. Kulala uchi usiku, kwa wanawake ni rahisi kuingiliwa na mapepo.

Nawakilisha.
 
Kwa vipidozi n sahihi. Kuanzia unyayo hadi nywele. Unavokaa ndivo unavyojiletea shda. Stay natural. U were born an original, don't die a copy.
 
Nijuavyo mimi ni kwamba:
1. Vipodozi vingi vya wanawake vina attract mapepo, hii ni pamoja na perfumes
2. Kulala uchi usiku, kwa wanawake ni rahisi kuingiliwa na mapepo.

Nawakilisha.

Wanaume wanalala wamevaa nguo??
Hasa maeneo ya joto!!!
 
Mapepo ni ile moja ya 3 ya malaika waliyoangushwa kutoka mbinguni na mikael
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…