African Believer
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 436
- 426
Kweli nilishawahi kumsikia kiongozi mmoja wa dini akidai hakuna kitu kama hiyo. Na alikua anamwambia biti mmoja mwanafunzi aliepandisha hayo wanayoita majini.Labda mnayo wewe na wenzako. Mimi sina hayo matakataka.
Kuna mapepo Kazi yao ni kukuharibia tu hayo yakikuingia yanakufanya unakuwa Malaya sana ni mapepo mahaba hayoNashuku
Nashukuru kwa majibu mzuri, ila naomba maelezo kidogo kwa namba mbili. Umesema majini au mapepo hayapendi watu wachafu hivyo hupenda kuwaingia watu walio wasafi kimwili kimatendo nk. Lakini kupa mtaani kwetu kuna dada mmoja ambaye ni popo, lakini kwake kupandisha ni kama kawaida.
Je, hilo limekaaje mwanajamvi?
........hahahaha! Nimekupata mwanajamvi. Je, huwa inakuaje pale pepo mzuri anapomwingia mtu? [kama pepo wazuri wapo lakini]Kuna mapepo Kazi yao ni kukuharibia tu hayo yakikuingia yanakufanya unakuwa Malaya sana ni mapepo mahaba hayo
Sawa,We We unajijuaje kama unamajini??kwa hiyo " Mpaka upandishe majini " ndio ujijue "" kuwa una majini "" karagabaho""....
daaahh " Mkuu hili ni somo pana sana "" nitakufuata PMSawa,We We unajijuaje kama unamajini??
Ndugu fafanua basi kwa namna ya kufupisha ili na sisi wengine tupate hilo somo.daaahh " Mkuu hili ni somo pana sana "" nitakufuata PM
kwa hiyo " Mpaka upandishe majini " ndio ujijue "" kuwa una majini "" karagabaho""....
Anhaaa ....kwahiyo kila mtu anayo ""? hebu nipe sbabu inayopelekea mpaka kila mtu awe na hayo majini "",!Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
Nawasikitikia sana masela ambao hawali mademu,hawapigi ulabu..... Kwa comment hii naanza kuvuta na ganja1-pepo ni roho ambayo haina mwili sasa inatanga tanga kutafuta makazi sasa anaweza kuingia kwenye kichwa cha MTU aliyempenda pia anaweza kuingia kwa kutumwa aingie kwa MTU
2-mapepo hayapendi mtu mwenye vurugu na mchafu sasa wanaume wengi ni wachafu kuanzia mwili, matendo nk. Mwanaume unakuta anakuwa na mademu kila mtaa ,mapepo hayapendi, pia mwanaume utakuta anashinda bar na kulewa ,mapepo hayapendi na Kazi za wanaume ngumu muda Mwingi unatoka jasho mapepo hawapendi...mapepo yanapenda harufu nzuri ya perfume muda wrote
3-makazi ya majini na mapepo ni baharini na malkia wao anaishi chini ya bahari
Kitu usichokiona na usichokijua maana yake ni hakipo katika ulimwengu wako, hivyo mtu atakaekuwa na mashetani kichwani kwake na asijue inamaana hana hayo mashetani.Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
Kitu cha cannabis sio mchezo....zisiruke kwa sababu ya dawa watu wakasema na wewe unayo.Nawasikitikia sana masela ambao hawali mademu,hawapigi ulabu..... Kwa comment hii naanza kuvuta na ganja
kufanyajeKwani pale Eden, shetani alianzia kwa nani?
Kwani pale Eden, shetani alianzia kwa nani?
Kwani pale Eden, shetani alianzia kwa nani?
Lini mi sijuiMSHANA ALISHAGA ELEZEA HILI KITAMBO SANA