MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Kuna mapepo Kazi yao ni kukuharibia tu hayo yakikuingia yanakufanya unakuwa Malaya sana ni mapepo mahaba hayo
 
Kuna mapepo Kazi yao ni kukuharibia tu hayo yakikuingia yanakufanya unakuwa Malaya sana ni mapepo mahaba hayo
........hahahaha! Nimekupata mwanajamvi. Je, huwa inakuaje pale pepo mzuri anapomwingia mtu? [kama pepo wazuri wapo lakini]
 
Mapepo, majini, manyamkera, mashetani, popobawa, vibwengo, ibilisi na vingine vya aina hiyo ni stori tu...
Inasikitisha sana kuona watu wengi sana wanaamini katika upuuzi wa aina hiyo!
 
kwa hiyo " Mpaka upandishe majini " ndio ujijue "" kuwa una majini "" karagabaho""....

Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
 
Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
Anhaaa ....kwahiyo kila mtu anayo ""? hebu nipe sbabu inayopelekea mpaka kila mtu awe na hayo majini "",!
 
Nawasikitikia sana masela ambao hawali mademu,hawapigi ulabu..... Kwa comment hii naanza kuvuta na ganja
 
Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
Kitu usichokiona na usichokijua maana yake ni hakipo katika ulimwengu wako, hivyo mtu atakaekuwa na mashetani kichwani kwake na asijue inamaana hana hayo mashetani.
 
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.

Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.
 
labda mapepo yatakuwa yanaheshimu sana suti, btw ngoja tuwasubiri wajuvi watudadavulie hapa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…