MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

dah kwaiyo mzee we hauoni noma kupumulia mwanaume mwenzio kisogoni, unakuta msela ana uchebe kabisa kidevuni, na kengele zake mbili, ebu acha kuzingua mkuu mademu wapo kibao ukitaka nenda afrikasana pale ni ww na teni lako tu mkomoane ila sio msela, ukifanyia ivo mtoto wa mtu basi jua na wewe wako kitamkuta kitu kama hiko hiko tu, af pia "uf.r.ji " inaleta mikosi mzee kitu kishakatazwa hadi na Mungu, samtym utaona mambo yako ayaendi ila ni kwajili ya ishu kama izo, ila sio late sana mzee acha tu na umrudie mwenyezi kwani ni Mungu mwenye huruma
 
nashauri tafuta andiko moja la Padri titus Amigu, alikuwa pale seminari kuu Peramiho, now yuko pale SAUT Mtwara,

Amewahi kuandika hiyo juu ya mapepo na wanawake, yuko vizuri sana. Anaichambua bibilia kama kijitaku cha kurasa 10
 
Nani kasema nimekosa mademu?
Wanawake wapo, nawatumia nikiwahitaji.
Mashoga pia wapo, nawatumia wakinihitaji. Simple kama hivyo!
 
Ukipata majibu sahihi unitag Mkuu...
 
Alieongea na shetanii ni Adam au Eva me nipo kukuna kichwaa najiulizaaaa!
 
Duuu kwa hiyo sa hivi unamtindua mapepo hana tena
 
Poleni sana vipi wee uliwahi kudata kwa mapepo
Mapepo ni stress wakati mwingine
Na sisi wanawake wepesi kupata msongo
Kuna wakati mtu unadata kabisa unaongea pekeyako unapiga makelele
 
Haaa mwishoni ikawaje[emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…