Nimeshuhudia makanisa mengi sana yaani asilimia kubwa ya wanaokuwa na mapepo ni wanawake na pia asilimia kubwa ni wepesi kuamini miujiza.
We anzisha kanisa utafute wanawake wanne halafu uende Nigeria au uwaone akina Mwingira, Gwajima, Lusekelo, Kakobe nk wakupe maufundi ya kucheza na akili zao pia kuponya misukule, kufufua wafu, kuponya kisanii walemavu, matatizo ya uja uzito, kutopata mchumba, kutaka kuwa tajiri, kupona UKIMWI, yaani utapata wanawake wengi sana, pia hata ukianzisha tiba mbadala we tibu uzazi, hormone imbalance, kutopata mimba, via vya uzazi nk, utapata wanawake sana nawe utakuwa tajiri, najiuliza kwanini wanawake sana.
Hata mkiwa kwenye ibada utasikia ghafula aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhiii! Sitaki niache ukifuatilia ni jinsia ya kike, jamani mnamatatizo gani hivi hata Ulaya na Asia ni hivyo?
Tujadiliane.
Body structure ya Mwanamke ndiyo huwafanya
Mapepo kuwasumbua mno tofauti na wanaume pamoja na Minds zao zinavyoji-operate kama mchangiaji mmoja alivyokwisha kutanabaisha hapo juu.Kama u-Mkristo ukisoma maandiko utaelewa hili zaidi.
Pia shetani (
Mapepo) huwatumia wanawake zaidi kufanikisha adhma yao kwakuwa ni viumbe dhaifu kuliko wanawake.Rejea kwa Eva pale bustanini,Rejea kwa Delilah alivyomlaghai Samson kwa wafilisti,Rejea kwa mke wa Ayubu (Japo hakufanikiwa).Mifano ni mingi mno katika Maandiko,Kasome utaelewa.
Hata Dunia ya leo hayo
Mapepo hufanya juu chini kupitia kwa mwanamke ili kuitawala/kuiteka Dunia.Nafikiri juu ya kiumbe ambaye ni Msaidizi (Kwa mujibu wa Biblia na Quran tukufu) tunapompa nafasi za kuongoza eti kwa kigezo cha
HAKI SAWA/USAWA WA KIJINSIA huku tukisahau kabiisa kuwa Mwanamke hapaswi kuwa kiongozi.Binafsi nasema kuwa huu ni muendelezo wa hila za hawa
Mapepo na siyo vinginevyo (Mapenzi ya Allha).
Hizi ni hila za hao
Mapepo tu,Si Mapenzi ya Mungu mwanamke kumuongoza Mwanamke japo Uwezo huo anao ila
MUNGU HAKUWAPA MAMLAKA HAYO.Ndiyo tafasiri ya Mwanamke kutolewa ubavuni mwa Mwanaume,ili tu Mmoja awe chini ya Mwenzake na siyo kama tulivyokubali kuliwa Vichwa na hawa
Mapepo kwa vigezo vya kipuuzi.
Hakuna Dhambi ambayo hatutosamehewa kwa Mungu kama kumpa nafasi za uongozi Mwanamke.Mwanamke ni msaidizi,ni mtu wa Nyumbani na siyo vinginevyo.Huku kufanya kazi,Kuwa Boss,Mmiliki wa Kampuni,Asasi mbali mbali nk ni uzembe wa baadhi ya Wanaume kutotimiza wajibu wao ipasavyo hivyo kumpelekea mwanamke kuwa mtu fulani/kujishughulisha.
Ieleweke kuwa mimi siyo muumini wa Kuwapinga wanawake kimaumbile/Kijinsia,Bali najaribu kuonyesha Uhalisia uliopotezwa na haya
MAPEPO kwa visingizio visivyokuwa na maana ilhali sisi wanaume ambao ndio vichwa tukiwa kimya kanakwamba hatuelewi lolote.
Mungu atupe Macho pamoja na Maarifa tuyaone haya.