Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 846
Dawa ya majini ni JINA LA YESU KRISTO, nothing else
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe maalun, Maimuna ta*ko laini wa magomeni naona una janaba la kulala na majini....au umeolewa na jini Hul?Hana hoja huyo zaidi ya matusi ndiyo anayoyajua na dhihaka.
Yaani Majini na Wanawake wa kiislam ni kama uji na mgonjwa.Msituchanganye hapa. Kwanza wanawake wenye majini wengi wao ni waislam.
Wengi wao hawana elimu ya darasani.
Wengi wao huyapata wakiwa wadogo hawajawa na hayo majanaba wala hedhi, huanza kuanguka shuleni tena kwenye shule za kimaskini ndio wengi.
Wengi wao ni kutoka tanzania... sijasikia wanawake wa kizungu wanaanguka shuleni wakati wao ndio wanaongoza kuishi na majanaba.
Yaani Majini na Wanawake wa kiislam ni kama uji na mgonjwa.
Mwanamke wa kiislam kuswali ama kuolewa na Majini sunna sheikh.
watakan...kata.
Kuna Dua mujarab ya kuyaita huku unafukiza udi.Uwiii... sikujua hilo. Kumbe ni uji na mgonjwa. Ukiyataka unakaaa na majanaba yanakukuta! Mmmmmmh haya
Haaaa haaa haaa mleta uzi unazingua ina maana dada zetu, mama zetu, shangazi na bibi zetu wanatembea na mizigo barabarani
Kuna Dua mujarab ya kuyaita huku unafukiza udi.
Ni kweli mkuu unaweza kuta kuna mtu ana jini na jini hilo humuamuru kuswali na kutenda mambo mengine mema katika jamii, lakini kwa kawaida jini mwema hakai katika mwili wa mwanaadam, pia hawa ambao huwaamrisha binadam kufanya matendo mema huwa ni janja yao tu ya kuanzia ili aonekane ni jini mwema apewe nafasi aheshimiwe na asibughudhiwe,Bado elimu ya majini kama ifundishwavyo na uislamu inakanganya sana, kuna wanaosema kwamba yale yote yanayowakumba watu ni majini waasi, sasa mbona huwa yanawaamuru viti wao kutimiza yote yaliyo kwenye uislamu, tena inasemekana na ndivyo ilivyo, huwa viti wao ni wasafi washika udhu, hawataki janaba na ni swala tano, akizingua hayo huchapwa na majini yao, huyu naye anasema yanapenda uchafu, hapaeleweki hapo.
Majini ni kama binadamu wapo wema na waovu.Sasa si tuliambiwa majini ni viumbe vyenye kumtii Mungu (Allah), nijuavyo Mungu yuko kinyume na uchafu, inakuwaje hapa mbona hizi habari zinachanganya, au majini nayo huugua uchizi kwahiyo hizi ni sifa za majini vichaa?
Wewe upo dunia gani huoni kwenye TV na hata vipindi vya redio wachungaji wanaendesha maombi kila siku na watu wanaanguka je Wale ni wanawake wa kiislamu?Msituchanganye hapa. Kwanza wanawake wenye majini wengi wao ni waislam.
Wengi wao hawana elimu ya darasani.
Wengi wao huyapata wakiwa wadogo hawajawa na hayo majanaba wala hedhi, huanza kuanguka shuleni tena kwenye shule za kimaskini ndio wengi.
Wengi wao ni kutoka tanzania... sijasikia wanawake wa kizungu wanaanguka shuleni wakati wao ndio wanaongoza kuishi na majanaba.
Kwendraaaaaa huna jipya 😎😉😉😉😉Wewe
Wewe maalun, Maimuna ta*ko laini wa magomeni naona una janaba la kulala na majini....au umeolewa na jini Hul?
Mtu mwingine ananiita wewe unakimbiza malapa ya kifuani yaliyofukizwa udi hapa.
Hicho kiherehere kilimponza mtoto khadija akiwa na miaka 9.