MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

duuh...mkuu umeielezea kwa undani zaidi....kwa hiyo ni kumbe ndio maana wengi wanahusudu sana hata mambo ya ndumba!!!
Mojawapo ya sababu ni kuwa mapepo mengi hupenda kukaa kwenye mapambo zaidi ambayo wanawake ndo watumiaji wakubwa. Kwa mfano bangili, pete, vipodozi, madawa ya nywele, perfumes, mawigi n.k. Pia wanawake hushambuliwa zaidi na "spiritual husbands" ambayo ni mapepo ya kiume na wengi huota ndoto wanafanya mapenzi nayo na kwa wale walioolewa huwachukia waume zao au wanapokuwa kwenye tendo la ndoa wanawake hawa hukereka na kusikia maumivu makali sana ili hali wakiwa na hayo mapepo husikia raha. Kuna cases chache pia kwa wanaume kuwa na "spritual wives". Wanawake pia ni watu wa kupewa vizawadi kwa wingi ukilinganisha na wanaume, na katika zawadi hizo nyingi pia huambatana na mapepo ndani yake. n.k
 
mapepo ni nguvu za ajabu ambazo hazionekani kwa giza...wengine wanasema ni majini na huhusiana na nguvu za giza zaidi. kama kuna mtaalam anayeweza kuelezea maana halisi ya mapepo naomba asaidie...ni swala la kiimani zaidi...
mtoa mada,mapepo ndo kitu gani?
 
mapepo ni nguvu za ajabu ambazo hazionekani kwa giza...wengine wanasema ni majini na huhusiana na nguvu za giza zaidi. kama kuna mtaalam anayeweza kuelezea maana halisi ya mapepo naomba asaidie...ni swala la kiimani zaidi...
mtoa mada,mapepo ndo kitu gani?
 
I see.....
Jibu lote lipo hapa.....


asilimia 80 ya 'wateja' wa makanisa hayo ni wanawake
asilimia 80 ya wateja wa waganga wa kienyeji ni wanawake
asilimia 80 ya wanaotapeliwa fedha kuanzia karata tatu,deci,upatu na kadhalika ni wanawake

chochote kila kinachohusu 'kutoa pesa' utakuta 'victim' asilimia kubwa ni wanawake

go figure that.....
 
Mojawapo ya sababu ni kuwa mapepo mengi hupenda kukaa kwenye mapambo zaidi ambayo wanawake ndo watumiaji wakubwa. Kwa mfano bangili, pete, vipodozi, madawa ya nywele, perfumes, mawigi n.k. Pia wanawake hushambuliwa zaidi na "spiritual husbands" ambayo ni mapepo ya kiume na wengi huota ndoto wanafanya mapenzi nayo na kwa wale walioolewa huwachukia waume zao au wanapokuwa kwenye tendo la ndoa wanawake hawa hukereka na kusikia maumivu makali sana ili hali wakiwa na hayo mapepo husikia raha. Kuna cases chache pia kwa wanaume kuwa na "spritual wives". Wanawake pia ni watu wa kupewa vizawadi kwa wingi ukilinganisha na wanaume, na katika zawadi hizo nyingi pia huambatana na mapepo ndani yake. n.k
aiseeeh ! Na wewe una pepo la uzushi na uongo !
 
" Tena mwanamke ndio alionifanya nifukuzwe heaven na anaponipa tunda bado najihisi nipo heaven"---Weusi GMF
 
du mada nzito but ndo ukweli huu asilimia kubwa ya wanawake ndo wenye mapepo....
 
asilimia 80 ya 'wateja' wa makanisa hayo ni wanawake
asilimia 80 ya wateja wa waganga wa kienyeji ni wanawake
asilimia 80 ya wanaotapeliwa fedha kuanzia karata tatu,deci,upatu na kadhalika ni wanawake

chochote kila kinachohusu 'kutoa pesa' utakuta 'victim' asilimia kubwa ni wanawake

go figure that.....
Uislaam unawataka wanawake kufanya ibada nyumbani ni bora zaidi kwao, vinginevyo wanasehemu yao maalum ! Wengine ni waongo tuu !
 
wanawake wanakisima kinachotema damu kila mwezi ....chakula kuu ya majini ni damu mkuuu shituka.......
tuseme na wale wanao honga vitara, nyumba kwa ajili ya kisima cha damu, na wao ni majini au wamekumbwa na majini ?!
 
Nadhani wanaokwenda kwenye makanisa ambayo mwanzisha mada ameyataja wengi wao ni wale wenye stress za maisha ambao wengi wao ni wanawake.
Hakuna cha mapepo wala nini, tatizoni stress tu.
 
Back
Top Bottom