MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

Ili.aweze kuwa Baba wa Mataifa au baba wa Vizazi au mwenye Kizazi kikubwa Ndo ilibidi abadilishwe Jina..
Hio sio sababu ya yeye kubadilishwa jina
Screenshot_20241124-234626_Opera Mini.jpg

Screenshot_20241125-000133_WhatsApp.jpg

Maelezo zaidi . Link hio

Ni ucha Mungu wake, pia agano na ahadi aliokuwa amewekeana na Mungu ndo ilimfanya Mungu ambariki kisha kum badilisha jina kutoka Abramu na kuwa ibrahimu
Kubadilika kwa jina ni ishara ya utakaso na kuinuliwa/ leverage au tuseme transformation kutoka stage moja kwenda nyingine.

Ukisoma Wanawake waliokuwa Akarah (Walionyimwa Baraka ya Uumbaji) ni Sarai, Rebeka na Hana na Hakuna Mwanamke mwingine aliyeitwa Akarah kwemye Biblia zaidi ya Hao..
Point hapo ni kunyimwa Baraka ya Uumbaji
Na sio jina Sarai kumzuia hasishike mimba

Kama maswali ya mada yanavyo uliza

1. Je jina unalo jiita/ itwa lina zuia wewe ufikie au usifikie ndoto zKo?
Does your name limit your succes / goals?
Kwamba jina sarai ndo lilimzuia hasishike mimba au
Jina Abram ndo lilimfanyah hasibarikiwe na kuwa baba wa mataifa


2 Jina lako lina eleza wewe ulivyo yaani tabia mienendo...nk
Does your name reflect/ defines your personality?
Kwamba kuiitwa Sauli ndo kulimfanya awe muuaji
 

Attachments

  • Screenshot_20241124-234626_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20241124-234626_Opera Mini.jpg
    223.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241125-000133_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20241125-000133_WhatsApp.jpg
    339.6 KB · Views: 2
Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo, hiyo ndiyo hoja.
Ukilitoa ilo neno thibitisha na kutumia neno prove basi swali lako limejibiwa

Kitabu kikongwe zaidi duniani kinachoitwa 'Biblia' kinasema hii milima, mabonde, bahari, maziwa na mito, kuwa na giza usiku na mwanga mchana, jua , nyota na mbalamwezi havikutokea hihivhi bali kuna nguvu inayoitwa Mungu ndo iliviumba.

Mpka sasa hakuna anae pinga hoja hio kuwa Mungu hakuumba ulimwengu.
Na kama unapinga Hoja hio ya kitabu cha biblia kusema Mungu ndo alie viumba .Je hivi vitu vilitoka wapi?

Labda kama unataka umuone physically kama Yesu alivyotokea Duniani

ATHEIST = ni watu wasio amini uwepo wa Mungu. Mzizi wa neno ni amini yaani imani. Kumbe ni mambo yanayousisha imani zaidi

Screenshot_20241124-124859_Opera Mini.jpg

Unaamini kwa kuona , kunusa, kuonja, kusikia, ku hisi au kusoma . Sisi tumeamini Mungu yupo kwa kusoma kitabu hicho

Ni sawasawa ukasema thibitisha upepo upo. Nina prove upepo upo kwa ku hisi pale unspo vuma ns sio kea kuuona

Ns wewe thibitisha hewa ipo?


tuanzie hapo kwa nini uamini hio hoja ya kitabu kikongwe zaidi duniani kusema Mungu ndo aliuumba ulimwengu kwani kauli hio ina dhihilisha uwepo wake?

Au una taka tumlete physically huyu hapa umuone ndo uamini, au tu ndo umeamua kutokuamini maandiko yalioandikwa kwenye Biblia kwa sababu eti biblia ime editiwa sana?. Basi tafuta Torati
 
Ukilitoa ilo neno thibitisha na kutumia neno prove basi swali lako limejibiwa

Kitabu kikongwe zaidi duniani kinachoitwa 'Biblia' kinasema hii milima, mabonde, bahari, maziwa na mito, kuwa na giza usiku na mwanga mchana, jua , nyota na mbalamwezi havikutokea hihivhi bali kuna nguvu inayoitwa Mungu ndo iliviumba.

Mpka sasa hakuna anae pinga hoja hio kuwa Mungu hakuumba ulimwengu.
Na kama unapinga Hoja hio ya kitabu cha biblia kusema Mungu ndo alie viumba .Je hivi vitu vilitoka wapi?

Labda kama unataka umuone physically kama Yesu alivyotokea Duniani

ATHEIST = ni watu wasio amini uwepo wa Mungu. Mzizi wa neno ni amini yaani imani. Kumbe ni mambo yanayousisha imani zaidi

View attachment 3160853
Unaamini kwa kuona , kunusa, kuonja, kusikia, ku hisi au kusoma . Sisi tumeamini Mungu yupo kwa kusoma kitabu hicho

Ni sawasawa ukasema thibitisha upepo upo. Nina prove upepo upo kwa ku hisi pale unspo vuma ns sio kea kuuona

Ns wewe thibitisha hewa ipo?


tuanzie hapo kwa nini uamini hio hoja ya kitabu kikongwe zaidi duniani kusema Mungu ndo aliuumba ulimwengu kwani kauli hio ina dhihilisha uwepo wake?

Au una taka tumlete physically huyu hapa umuone ndo uamini, au tu ndo umeamua kutokuamini maandiko yalioandikwa kwenye Biblia kwa sababu eti biblia ime editiwa sana?. Basi tafuta Torati
Biblia si uthibitisho, si proof. Biblia ina contradictions nyingi sana ambazo nikikuambia uziondoe hutaweza.

Ni ujinga wako tu unaokufanya kitu kikiandikwa kwenye Biblia lazima ni cha kweli.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Biblia si uthibitisho, si proof. Biblia ina contradictions nyingi sana ambazo nikikuambia uziondoe hutaweza.

Nisha kusoma ni ishu ya kukaza kichwa tu.
Wewe unapinga kisa Biblia ina Contradiction nyingi.
Basi njoo na kitabu chako unachokiamini.
Kwanini usijibu kwa hoja.

NA wewe thibitisha hewa ipo?


Ni ujinga wako tu unaokufanya kitu kikiandikwa kwenye Biblia lazima ni cha kweli.
Sijasema kila kilicho kwenye Biblia nicha kweli. Ni ishu ya kupokea taarifa na uka i Reason kua ina ukweli kiasi gani.

Na sisi kwa logic ya maandiko ya Biblia na jinsi tunavyoona ulimwengu yaani jua na milima hoja ya Mungu aliviumba ina make sense hivyo ku signify uwepo wake

Mbona ili swali hujibu, milima, mabonde, bahari, maziwa na mito, kuwa na giza usiku na mwanga mchana, jua , nyota na mbalamwez vilitoka wapi HUJIBU. au kuna ndugu yako alivitengeneza?

Thibitisha Dunia inazunguka na sio kwa maandiko ya wanascience na wanajografia?
Thibitisha HEWa ipo? Bila kutumia vitabu vya science

Ni ishu ya kujielewa na ku reason pia kujibu kwa hoja ila sio kukataa bila hoja kama mtu wa kijiweni

(@ cc Blue bahari njoo umchukue jamaa yako naona hazimo uskute na bishana na mwehu)
 
Kama kwa Imani hapo sawa, tuko pamoja. Maana mijadala ya dini maswali yanakuwa mengi kuliko majibu.
===================
1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Waebrania 11:1
3 Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.

Waebrania

11:3
Ebu fuatilia logic na hoja niliotumia kumjibu huyo ndugu yako kiranga kwenye "Thibitisha Mungu yupo"
Usikute jamaa yako hazimo. Kweli shule na elimu vina umuhimu
 
Ebu fuatilia logic na hoja niliotumia kumjibu huyo ndugu yako kiranga kwenye "Thibitisha Mungu yupo"
Usikute jamaa yako hazimo. Kweli shule na elimu vina umuhimu
Siku zote Extremists/radicals huwa wanaonekana ni hamnazo.
Inawezekana kabisa Kiranga ana hoja mujarabu; Hivyo, anachohitaji yeye Ni kueleweshwa Tu kuhusu hoja yake. Tatizo inawezekana liko kwa waelekezaji, ndiyo maana Kiranga anaonekana kama Ni Kichwa ngumu, mgumu kuelewa.

By the way, kuna watu huwa Wako tayari kuelimishwa na uipokea Elimu hiyo kama ina tija kwao. Lakini kuna watu ambao sifa yao kuu Ni kubisha/kubishana, watu wa dizaini hiyo hawapo tayari kupokea fikra/elimu Mpya. Wanachokiamini na kukijua wao, ndicho hicho hicho kitakaa akilini mwao forever.
 
Nisha kusoma ni ishu ya kukaza kichwa tu.
Wewe unapinga kisa Biblia ina Contradiction nyingi.
Basi njoo na kitabu chako unachokiamini.
Kwanini usijibu kwa hoja.

NA wewe thibitisha hewa ipo?



Sijasema kila kilicho kwenye Biblia nicha kweli. Ni ishu ya kupokea taarifa na uka i Reason kua ina ukweli kiasi gani.

Na sisi kwa logic ya maandiko ya Biblia na jinsi tunavyoona ulimwengu yaani jua na milima hoja ya Mungu aliviumba ina make sense hivyo ku signify uwepo wake

Mbona ili swali hujibu, milima, mabonde, bahari, maziwa na mito, kuwa na giza usiku na mwanga mchana, jua , nyota na mbalamwez vilitoka wapi HUJIBU. au kuna ndugu yako alivitengeneza?

Thibitisha Dunia inazunguka na sio kwa maandiko ya wanascience na wanajografia?
Thibitisha HEWa ipo? Bila kutumia vitabu vya science

Ni ishu ya kujielewa na ku reason pia kujibu kwa hoja ila sio kukataa bila hoja kama mtu wa kijiweni

(@ cc Blue bahari njoo umchukue jamaa yako naona hazimo uskute na bishana na mwehu)
Kwanza kabisa, umekubali Biblia ina contradictions nyingi na hivyo si kitabu cha kuamini tu kwamba kila kilichoandikwa kwenye Biblia ni ukweli?
 
Siku zote Extremists/radicals huwa wanaonekana ni hamnazo.
Inawezekana kabisa Kiranga ana hoja mujarabu; Hivyo, anachohitaji yeye Ni kueleweshwa Tu kuhusu hoja yake. Tatizo inawezekana liko kwa waelekezaji, ndiyo maana Kiranga anaonekana kama Ni Kichwa ngumu, mgumu kuelewa.

By the way, kuna watu huwa Wako tayari kuelimishwa na uipokea Elimu hiyo kama ina tija kwao. Lakini kuna watu ambao sifa yao kuu Ni kubisha/kubishana, watu wa dizaini hiyo hawapo tayari kupokea fikra/elimu Mpya. Wanachokiamini na kukijua wao, ndicho hicho hicho kitakaa akilini mwao forever.
Mtu anasema katumia logic kunieleza, wakati kiukweli hajui logic ni nini.

Nitakwambia kwa nini hajui logic ni nini.

Angejua logic angejua logical fallacy ni nini.

Angejua logical fallacy ni nini, angejua logical fallacy ya argument from authority ni nini.

Angejua logical fallacy ya argument from authority ni nini, asingesema kitu ni kweli kwa sababu kimeandikwa kwenye Biblia.

Huyu hajui logic ni nini, anarusharusha tu hilo neno.

Hajui logical fallacy ni nini.

Hajui argument from authority ni nini.

Tukibishana kwa logic hawezi mabishano, anakimbilia logical fallacy ya argument from authority.

Anakimbilia logical fallacy ya non sequitur kuuliza "kama Mungu hayupo nani kaumba ulimwengu".

Hajui hilo swali ni logical non sequitur fallacy, halithibitishi Mungu yupo na ulimwengu si lazima uwe umeumbwa na "nani".

Kuna tofauti kubwa sana ya elimu ya logic kati yake na mimi mpaka kubishana naye inabidi nianze kumfundisha logical fallacies kwanza.

Analeta bias za kiimani kutumia Biblia kama ukweli kwenye mazungumzo ya logic, halafu anafikiri hiyo ni logic.
 
Ishu nyingine zinahusisha akili za kuzaliwa na ku Reason sio elimu ya darasani. Ndo maana kwenye Kila soko kuna mwendawazimu
Ndo maana unakuta msomi professor kumbe hazimo zimesharuka kitambo san
 
Mtu anasema katumia logic kunieleza, wakati kiukweli hajui logic ni nini.

Nitakwambia kwa nini hajui logic ni nini.

Angejua logic angejua logical fallacy ni nini.

Angejua logical fallacy ni nini, angejua logical fallacy ya argument from authority ni nini.

Angejua logical fallacy ya argument from authority ni nini, asingesema kitu ni kweli kwa sababu kimeandikwa kwenye Biblia.

Huyu hajui logic ni nini, anarusharusha tu hilo neno.

Hajui logical fallacy ni nini.

Hajui argument from authority ni nini.

Tukibishana kwa logic hawezi mabishano, anakimbilia logical fallacy ya argument from authority.

Anakimbilia logical fallacy ya non sequitur kuuliza "kama Mungu hayupo nani kaumba ulimwengu".

Hajui hilo swali ni logical non sequitur fallacy, halithibitishi Mungu yupo na ulimwengu si lazima uwe umeumbwa na "nani".

Kuna tofauti kubwa sana ya elimu ya logic kati yake na mimi mpaka kubishana naye inabidi nianze kumfundisha logical fallacies kwanza.

Analeta bias za kiimani kutumia Biblia kama ukweli kwenye mazungumzo ya logic, halafu anafikiri hiyo ni logic.
Ishu nyingine zinahusisha akili za kuzaliwa na ku Reason sio elimu ya darasani. Ndo maana kwenye Kila soko kuna mwendawazimu
Ndo maana unakuta msomi professor kumbe hazimo zimesharuka kitambo san
Hapa lazima mpishane pakubwa, na hamtaelewana kamwe. Sababu kuu: mmoja anatetea hoja yake kwa kutumia Imani wakati mwingine anataka hoja ijibiwe kwa logic.
Mmoja anataka intuition evidence pia itumike wakati mwingine anataka empirical evidence tu ndiyo itumike ku-justify uwepo wa mungu.

Bifu lenu halina muafaka. Binafsi kila mmoja namuaona Yuko sahihi kulingana na muktadha wa Aina ya Elimu, religion or philosophy.
 

Attachments

  • Is it 6 or 9.jpg
    Is it 6 or 9.jpg
    7.1 KB · Views: 2
Hapa lazima mpishane pakubwa, na hamtaelewana kamwe. Sababu kuu: mmoja anatetea hoja yake kwa kutumia Imani wakati mwingine anataka hoja ijibiwe kwa logic.
Mmoja anataka intuition evidence pia itumike wakati mwingine anataka empirical evidence tu ndiyo itumike ku-justify uwepo wa mungu.

Bifu lenu halina muafaka
Halina muafaka kwa sababu ni kupambanisha ujinga na werevu.

Mtu anaongea logical fallacy halafu yeye anaona hiyo ndiyo logic nzuri, na akifundishwa hapa umefanya logical fallacy, si logic nzuri, haelewi, na zaidi, hataki kuelewa.

Tutaelewana vipi hapo?
 
KAbisa mana wakina mudi ndio wanaongoza kwa umalaya na kuzibua mitaro.
 
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
Nimekuelewa mkuu upo sahihi.
Nimeelewa Swali lako lilicholenga.

Na mimi nasema

Mpaka sasa hakuna aliethibisha HEWA ipo
Mpaka sasa Hakuna aliethibitisha Dunia inazunguka
 
Nimekuelewa mkuu upo sahihi.
Nimeelewa Swali lako lilicholenga.

Na mimi nasema

Mpaka sasa hakuna aliethibisha HEWA ipo
Mpaka sasa Hakuna aliethibitisha Dunia inazunguka
Sawa,

Ngoja nikuendekeze.

Hata kama kweli hakuna aliyethibitisha hewa ipo, hata kama kweli hakuna aliyethibitisha dunia inazunguka (tuweke pembeni ukweli kwamba yote haya yamethibitishwa, nakuendekeza tu kwamba haya yote hayajathibitishwa. Tunaweza kuanzisha uzi tofauti wa kujadili kama hewa ipo ama haipi na kama dunia inazunguka au haizunguki).

Kutothibitishwa kwamba hewa ipo, kutothibitishwa kwamba dunia inazunguka, kote huko hakuthibitishi Mungu yupo.

Tuseme nakubali sijui lolote kuhusu hewa ipo au haipo, sijui lolote kuhusu dunia inazunguka au haizunguki, na sijali hayo mambo.

Ninachojali ni kupewa uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Bado hujathibitisha Mungu yupo. Habari za hewa kuwapo na dunia kuzunguka mimi sizijui wala sijali.

Habari ninayojali mimi ni uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Usibadilishe habari kuleta habari ya hewa kuwapo au dunia kuzunguka.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Unaelewa hata logical fallacy ni nini?
Screenshot_20241125-182417_Opera Mini.jpg

Screenshot_20241125-182104_Opera Mini.jpg

Screenshot_20241125-182354_Opera Mini.jpg

umeeleweka vizuri kwamba huamini Mungu yupo kwa kigezo cha kutumia maandiko ya Biblia kwani ni contaradictory na yapo Edited . kwa upande wako
 
Back
Top Bottom