Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Siyo kwa upande wangu. Ni ukweli kwamba Biblia ina contradictions nyingi, na si tu imekuwa edited, bali pia yote imeandikwa na watu tu.View attachment 3161439
View attachment 3161440
View attachment 3161444
umeeleweka vizuri kwamba huamini Mungu yupo kwa kigezo cha kutumia maandiko ya Biblia kwani ni contaradictory na yapo Edited . kwa upande wako
Hivyo kusema kitu ninkweli kwa sababu kimeandikwa kwenye Biblia ni logical fallacy. Ni argument from authority logical fallacy.
Na mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo.