Habari wandugu,
Naomba ushauri wenu kwa biashara ya mpunga.
Nataka kununua magunia baada ya mavuno alafu nauza baada ya jipindi cha navuno kuisha.
Ushauri wenu tafadhali
Hizi Biashara za Kizamani sana ni Bongo tu ndo bado tunafanya hizi biashara, Nchi zingine waliaacha miaka migi sana iliyo pita,
Wkati Wabongo wakinunua Magunia n Kuficha ndani, Wakenya Huja na Kununua Mchele n kwenda Kugred na kuuza nje ya Nchi yao, Huku Hayo mawazo hakuna tuna subilia Seriali itupe hayo mawazo,
Na kama unafutilia Bunge Waziri wa Kilimo alidai kuanzia sasa Mchele huutapanda Kwa Bei ya Kutisha mke Watu wana Vibari vya Kuagiza free kutoka Nje,
Na Hizi Biashara haziwzi kuwa na Tija na ukipiga na Time Value of Money utaona hakuna kitu, ila hilo hatulijui, mke mtu akilindika agunia mwaka mzima na alinunua elifu 50 na kuja kuuza Laki anaona amepata sana ila ukipiga time na kila kitu ni hakuna kitu,
Na Moja ya kwa nini Mchele umeshuka sana bei ni haya haya mambo make watu walificha magunia ila imebidi wayatoe na wayauze kwa bei ya sasa,
Tunashidwa nini Kuw Wabunifu? Ni lazima uhifadhi magunia tu? hakuna njia nyingine? Tujaribu kuwa wabunifu hii ni karine nyingine kabisa, hiwezekani Mfumo wa biashara wa miaka ya 70 utumike hadileo 2013,
Tunazani Biashara ni kupata Faida mara mbili zaidi,hii sio, na kweli tuna safari Moja ndefu sana,