Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,448
Makadirio yanarandana na ukweli japo umeweka makadirio ya juu mno kwenye return zako. Punguza hilo pato kwa 15% na ongeza gharama hzo kwa 15%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa sasa ndo mavuno,debe ni within elf 4 hadi 5. so unachagua unataka gunia la debe 7 au 10, ikifika Dec huwa unapanda bei na huwa ndo msimu wa kuanza tena kulima. unaweza nunua karibu na ifakara insteady of ulanga ili kupunguza transport costs
Franky, wewe unaishi Ifakara au nje ya Ifakara?
Hilo ni gunia la bede ngapi za mpunga?Mwambie aje maeneo ya kibaoni nina gunia kama 50 hivi anipe 80000 per bag
Nipo ifakara mkuu
Yote ni mawazo mazuri, ila mhusika endelea kufanya feasibility study ya kukuridhisha then uanye maamuzi, kuingiza mchele wa thailand na china utaadhiri soko lakini bado quality zitatofautiana kama mchele wa mbeya super umebakia juu mpaka sasa,
Mwambie aje maeneo ya kibaoni nina gunia kama 50 hivi anipe 80000 per bag
mkuu, mchele wa Kyela ambao ni the best ever, kwa sasa unatembea 1000 tsh per kg kule Kyela, mjini ni kati ya 1500 na 1800 tsh! kwa kawaida huu mchele unakuwaga about 1200 tsh kule kyela na about 2200>tsh na unauzika kwa speed lakini kwa sasa watu wengi wanakula yale makapi ya Thailand ambayo ni 600 tsh per kg!
mchele wa kilombero (incl Ifarakara) ni about 800 tsh per kg kwa kule, wakati Dar ni about 1200>tsh. kimsingi faida ipo, ila imeshuka tofauti na misimu iliyopita! hivyo, kama upo jobless ni vema kuingia na kupambana!