Mjadala mpya: Ni nani aliwaokoa abiria 24 wa ndege ya Precision Air?

Hivi ule mlango wa ndege upigwe na kasia la mbao ufunguke hamna nakata mpaka mwisho ni kitu hakiwezekani
 
Kimeumana!😀
 
Sie ambao hatujakiwepo eneo la tukio n ngumu kumjua aliye fungua mlango, na kama kuna mtu aliyetoka na kuanza kukimbiakimbia ovyo pengine hata waliokuwepo kwenye ndege nao wanaweza kuwa wanamjua au wanadhania kuwa wanamjua kumbe hawamjui sababu katika hali ile huenda akili zao Kwa wakati huo hazikuwa sawa.
 
Mkuu Mshana, kama Majaliwa hajahusika kuwaokoa wahanga wa precision tujiulize haya:-

1. Kwamba alipangwa ili azungumze uongo? Kama jibu ni ndio hatuwezi kumdondoa ili kufahamu uwezo wake katika propaganda.

2. Abiria (manusura) ambao waliwepo kwenye ndege hawana kumbukumbu yoyote kuhusu Majaliwa katika uokoaji?
 
Hatuwezi kamwe kumkana Majaliwa kwenye uokoaji na tukisema kwamba alipangwa kucheza muvi tutakuwa hatuna akili na tunaweza kuitwa wazushi wa aina yake! Majaliwa na waokoaji wengine walifanya walichofanya mpaka wakasalimika abiria 24
Kilichotokea ni kwamba kuna kikundi cha watu kwa sababu zao wenyewe wakaamua kutembea na bit ya Majaliwa na kuipa verse za kutosha kisha wakaipromote pakubwa
 
Wizara ya Afya imeendelea kuboresha mikakati ya kuokoa maisha ya watu kutokana na majanga na ajali kwa kuanzisha Kitengo mahsusi kitakachoshughulika na kuokoa maisha ya watu kutokana na ajali.' Kitengo kipya cha majanga ajali kushughulika katika kuokoa maisha ya watu

Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo akiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma alipowatembelea majeruhi wa ajali iliyohusisha Basi la Arusha Express kugongana na Lori eneo la Mzakwe, Dodoma.
 
2. Abiria (manusura) ambao waliwepo kwenye ndege hawana kumbukumbu yoyote kuhusu Majaliwa katika uokoaji[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka

Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic

Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona

Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi

Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.

Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili

Source: WASAFI TV
 
Mkuu Mshana ukweli ulio wazi nikwamba you can not operate any system in the aircraft including opening emergency exit which are hydrological operating if engines are already not operating unless if yes what happened is miracle
 
Sasa n niNI kilifungua mlango ni Kasia(mwiko) au jiwe la fatuma
Mkuu Mshana ukweli ulio wazi nikwamba you can not operate any system in the aircraft including opening emergency exit which are hydrological operating if engines are already not operating unless if yes what happened is miracle
 
Sasa n niNI kilifungua mlango ni Kasia(mwiko) au jiwe la fatuma
Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
 
Kwa mantiki hiyo ni kwamba mlango haukufunguliwa na kasia!!!

Kama ni hivyo kwa nini Majaliwa ndiye staring wa movie yetu (kama kweli ni movie).?

Je, ana capacity hiyo ya kuwa staring au amepandishwa juu ya mti?
 
Kwa mantiki hiyo ni kwamba mlango haukufunguliwa na kasia!!!

Kama ni hivyo kwa nini Majaliwa ndiye staring wa movie yetu (kama kweli ni movie).?

Je, ana capacity hiyo ya kuwa staring au amepandishwa juu ya mti?
Kuna kitu kinaitwa nyenzo ... Hiki hukusaidia kurahisisha kazi ambayo ungeifanya kwa ugumu! Ngazi huwa ni nyenzo muhimu sana ya kukupeleka juu
 
"Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja mdogo mdogo hivi"
Je, hapa ndo chanzo cha ushujaa wa Majaliwa?
Kwamba yeye alitumwa kwa jambo dogo kutoka jambo kubwa!!!

Mshana hebu tumuachie dogo naye akafaidi mema ya nchi.
 
"Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja mdogo mdogo hivi"
Je, hapa ndo chanzo cha ushujaa wa Majaliwa?
Kwamba yeye alitumwa kwa jambo dogo kutoka jambo kubwa!!!

Mshana hebu tumuachie dogo naye akafaidi mema ya nchi.
Nimenukuu sio maandishi yangu na wala sina wivu na Majaliwa ila ni lazima ukweli usemwe
 
Nimenukuu sio maandishi yangu na wala sina wivu na Majaliwa ila ni lazima ukweli usemwe
Nimekuelewa sana mkuu pia nafahamu kwamba huna roho ya (kilingeni kwa sasa - jocking) na siyo vibaya kureason.

Hata hivyo kama amepandishwa juu tumuache naye ale matunda ya nchi yetu usije onekana mchoyo na mchochezi.
 
Nimekuelewa sana mkuu pia nafahamu kwamba huna roho ya (kilingeni kwa sasa - jocking) na siyo vibaya kureason.

Hata hivyo kama amepandishwa juu tumuache naye ale matunda ya nchi yetu usije onekana mchoyo na mchochezi.
Namuombea sana ila nina hofu yasije kumkuta kama ualiyowakuta kina Piere liquid
 
HII nchi Jamani....Lakini tuwaze tu hivi inawezekana mlango wa ndege ukawa sawa na wa Toyota allex ukipigwa Kasia unasambaratika......!
Only in bongo salidalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…