Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Sasa hapa kuna nini cha ajabu zaidi kuona slum zilizochangamka
Unajua maana ya slum??
Slum maana yake ni makazi duni yasiyokua na mpangilio.
Usitamke neno kesha hujui maanaa yake.
Kariakoo kote hakuna makazi duni na makazi yake yote yamejengwa kimpangilio.
Nioneshe mwanza kwenye massive buildings kama hapo Kariakoo!??
 
Unajua maana ya slum??
Slum maana yake ni makazi duni yasiyokua na mpangilio.
Usitamke neno kesha hujui maanaa yake.
Kariakoo kote hakuna makazi duni na makazi yake yote yamejengwa kimpangilio.
Nioneshe mwanza kwenye massive buildings kama hapo Kariakoo!??
20161467812_8bac3caa6e_b.jpg
 
Sasa hizi zina utofauti gani na Mwanza hizo ambazo nimezipost hapo!!?au kwa sababu zimerundikana kiholela ndo zimekuchanganya 😂
Kiholelaaa we acha kuchekesha.
We huoni kuna utofauti?
Kwanza wa mpangilio pili wa ujazo,hapoMwanza naona vigorofa vimoja moja pembeni kukiwa na nyumba ya bati chakavu.Kariakoo haipo hiyo.
Nani kakwambia Kariakoo nyumba zimekaa kiholela?
Au hujawahi kufika kariakoo wewe??
Kariakoo kila mtaa umepangika kimipango miji.
 
Kiholelaaa we acha kuchekesha.
We huoni kuna utofauti?
Kwanza wa mpangilio pili wa ujazo,hapoMwanza naona vigorofa vimoja moja pembeni kukiwa na nyumba ya bati chakavu.Kariakoo haipo hiyo.
Nani kakwambia Kariakoo nyumba zimekaa kiholela?
Au hujawahi kufika kariakoo wewe??
Kariakoo kila mtaa umepangika kimipango miji.
Kariakoo napajua vizuri sana kila mtaa tena yawezekana kuliko hata wewe bado kuna nyumba nyingi chakavu humo halafu hizo ghorofa hata hazina mvuto kabisa majengo yenye finishing kali ni ya kuhesabika mengi ni takataka tu
 
Kariakoo napajua vizuri sana kila mtaa tena yawezekana kuliko hata wewe bado kuna nyumba nyingi chakavu humo halafu hizo ghorofa hata hazina mvuto kabisa majengo yenye finishing kali ni ya kuhesabika mengi ni takataka tu
Huwezi ukapajua kariakoo kunizidi mimi wewe.
Hizo gorofa za miaka mingi na zingine zimeanza kuvunjwa kujengwa mpya.
Soon kariakoo itakua ina blue glass buildings kila upande.
 
Huwezi ukapajua kariakoo kunizidi mimi wewe.
Hizo gorofa za miaka mingi na zingine zimeanza kuvunjwa kujengwa mpya.
Soon kariakoo itakua ina blue glass buildings kila upande.
We unafikiri Mwanza hazivunjwi na kujengwa mpya tatizo mna mindset za Dar ndo kila kitu mkidhani huku mikoani raia hawajengi shukuruni mbeleko isingekuwa mbeleko Dar ingekuwa Kijiji cha makumbusho na maonesho ya wavuvi
 
Kiholelaaa we acha kuchekesha.
We huoni kuna utofauti?
Kwanza wa mpangilio pili wa ujazo,hapoMwanza naona vigorofa vimoja moja pembeni kukiwa na nyumba ya bati chakavu.Kariakoo haipo hiyo.
Nani kakwambia Kariakoo nyumba zimekaa kiholela?
Au hujawahi kufika kariakoo wewe??
Kariakoo kila mtaa umepangika kimipango miji.
Kama haiko kiholela nioneshe maeneo ya maegesho ya magari zaidi ya kupaki barabarani na kuongeza msongamano wa usio na maana,,,sasa mnarundika maghorofa mnasahau na kuweka parking huo si ndo uholela jenga jengo acha space huku Mwanza majengo yanajengwa kwa space ili kupata sehemu ya maegesho ndo maana huoni huo mrundukinaniko ila maghorofa Mwanza ni mengi sana bro huwezi kuyahesabu ukamaliza tembea Mwanza usisimuliwe
 
We unafikiri Mwanza hazivunjwi na kujengwa mpya tatizo mna mindset za Dar ndo kila kitu mkidhani huku mikoani raia hawajengi shukuruni mbeleko isingekuwa mbeleko Dar ingekuwa Kijiji cha makumbusho na maonesho ya wavuvi
Mbeleko kutoka kwa nani??
😂😂😂😂😂😂Mbona unaropoka broo?
Dar inajengwa na watu binafsi kama ilivyo Mwanza.
Haya mbeleko ipi unayosemea wewe??
Sasa unadhani zinazojengwa Dar ni sawa na hizo za Mwanza?
Dar kunajengwa higher rising buildings za kuanzia 60metres.
 
Kama haiko kiholela nioneshe maeneo ya maegesho ya magari zaidi ya kupaki barabarani na kuongeza msongamano wa usio na maana,,,sasa mnarundika maghorofa mnasahau na kuweka parking huo si ndo uholela jenga jengo acha space huku Mwanza majengo yanajengwa kwa space ili kupata sehemu ya maegesho ndo maana huoni huo mrundukinaniko ila maghorofa Mwanza ni mengi sana bro huwezi kuyahesabu ukamaliza tembea Mwanza usisimuliwe
Nani kakwambia hakuna parking!??
Halafu mbona unahama bro?
Unaulizia mji kupangika au parking?
Mji kupangika kitu kingine na parking ni kitu kingine.
Kila eneo lina parking ila mrundikano wa watu na biashara barabarani ndio unaziba hizo parking.
Kwasababu kariakoo ni CBD hivyo mrundikano wa watu ni mkubwa sanaaa.
Wameongeza parking barabara ya kuelekea Karume,maana ukisema utumie parking za kawaida utakumbana na wachuuzi barabarani mtihani.

Mwanza kuna magorofa yalojazana kama hapo chini??
Screenshot_2024-09-20-10-43-59-13_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-20-10-45-06-71_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ebu ziorodheshe hizo higher building kama siyo za kiserikali ngoja nikusaidie kuna tpa tower,, ppf HQ,, NHC hq,,crdb HQ mawasiliano tower,,maji house,,mzizima tower hayo ndiyo majengo marefu na mmiliki siyo mtu binafsi ni taasisi za kiserikali bro ndo mnatamba nayo ebu nioneshe jengo refu hapo linalomilikiwa na mtu binafsi
 
Back
Top Bottom