Kailete hiyo igogo ilikuaje kipindi chake cha zamani na mimi nikuletee Tandale ama Mzizima kiujumla ilikuaje.Hivi unajua igogo ipo tangu mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kailete hiyo igogo ilikuaje kipindi chake cha zamani na mimi nikuletee Tandale ama Mzizima kiujumla ilikuaje.Hivi unajua igogo ipo tangu mwaka gani?
Kaka nakuambia hivi mimi nipo Dar is slums ninayoyashuhudia huku ni vitukoDsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6,gepu la nyumba ni kidogo sana na nyumba zinazoendelea kujengwa mwanza ni nyingi kuliko Dsm, na Dsm kuna projects kibao za ujenzi wa nyumba za mashirika ya serikali mara Samia scheeme, lakini mwanza ni juhudi za raia, hii inaonesha dhahiir Dsm kuna umasikini wa kutupwa Vipi mwanza ikipewa mkono wa serikali hata kwa asilimia 30 tu, si itanyea kambi 👆👆👆👆👆
Na hapo Mwanza haina mbeleko Vipi ingepata mbeleko sawa na wao??
Nipo huku Katavi napiga pesa kinoma kuliko nilivyokuwa hapo Dar.😆😆😆 Sawa, ila mi ndo napiga pesa huku.
Sawa mkuu, Tupambane . Home sweet home !! "MWANZA"Nipo huku Katavi napiga pesa kinoma kuliko nilivyokuwa hapo Dar.
Nyegezi hawajambo hukoMwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Adi kufika 2030 watakuwa wametuzidi idadi ya maghorofa tu.Mwanza i na miss vitu vidogo hasa kwa upande wa miundombinu ya barabara, kenyata road, nyerere road, usagara to nyanguge via igombe na ile usagara to jpm bridge ngoja zipigwe dual carriage,na Mwanza international Airportikamilike, Dsm anajaa kwenye mfumo
Ungeposti baada ya pombe kuisha kichwani usingeposti madudu hivi. Mtu anayeshindanisha sijuwi majiji au vijijini ni mshamba tu wa akili.Mwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Mwanza ni Kichuguu sema Kichuguu cha mawe.Ukitoa nairobi daslam hufananishi na jiji lolote hapa afrika mashariki huyu kalewa vichwa vya sangara analeta utoto gani sijui
Ogopa sana mji unaobomoa maghorofa na kujenga maghorofa👇Sawa mkuu, Tupambane . Home sweet home !! "MWANZA"
NomaaaOgopa sana mji unaobomoa maghorofa na kujenga maghorofa👇
View attachment 3098980
Njoo uione Capri point,,bwiru,,miti mirefu,,mwananchi nk... hapa Mwanza unaweza hisi uko peponi.Dsm Kuna maeneo ukienda hata ulaya wanajiuliza kama kweli hii nchi ni maskini? Ukienda maeneo ya Mikocheni, Kawe, Mbezi beach, Tabata,
Dadeeki Mwanza ni li dude li kubwa sana na hapo asilimia kubwa ni nguvu ya raia binafsi siyo huko Dodoma na Dar hadi wanasaidia na taasisi za kiserikali na binafsi
Huku ni milimani kabisa pako hivi gharama ya kujenga nyumba huku milimani Mwanza unanunua nyumba nzima goba
Magorofa haya si sawa na yale yanayojengwa Tandika na Temeke mwisho?Ogopa sana mji unaobomoa maghorofa na kujenga maghorofa👇
View attachment 3098980
Jidanganye.Huku ni milimani kabisa pako hivi gharama ya kujenga nyumba huku milimani Mwanza unanunua nyumba nzima goba
Dar majengo yanayojengwa ni ya wawekezaji binafsi ninyi vijana.Dadeeki Mwanza ni li dude li kubwa sana na hapo asilimia kubwa ni nguvu ya raia binafsi siyo huko Dodoma na Dar hadi wanasaidia na taasisi za kiserikali na binafsi
Hapa TZ nzima hakuna eneo lililojengeka kuzidi Oyter,Masaki,Mbezi beach Hakuna narudia hakuna.Njoo uione Capri point,,bwiru,,miti mirefu,,mwananchi nk... hapa Mwanza unaweza hisi uko peponi.