Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Dar es salaam viwanja vya milion mija hadi laki saba ni vingi tu, Hata matajiri wa Dsm ni hao wahindi na waarabu, ngozi nyeusi wote kapuku tu, Mfano hata matajiri wa mabasi yote yanayoenda Dsm kutoka mikoani wamiliki asilimia 98% sio wakazi wa Dsm, Mfano katarama anashusha iriza ni lake zone tena ngozi nyeusi, tofauti na huko Dsm
Mbona unahama mada!?
Tunajadili ukuaji wa miji ama tunajadili makabila!???
Kama unazungumzia makabila wahaya,wasukuma,wachagga,waarusha wapo wengi matajiri hapa Dar es salaam.
Wengi wao wamewekeza katika mashule,vyuo vya kati,viwanda vya dawa,vituo vya afya n.k n.k.
Kuwa specific hatuzungumzii makabila hapa tunazungumzia ukuaji wa miji.
 
iMarkup_20240917_182649.jpg
 
Dsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6,gepu la nyumba ni kidogo sana na nyumba zinazoendelea kujengwa mwanza ni nyingi kuliko Dsm, na Dsm kuna projects kibao za ujenzi wa nyumba za mashirika ya serikali mara Samia scheeme, lakini mwanza ni juhudi za raia, hii inaonesha dhahiir Dsm kuna umasikini wa kutupwa Vipi mwanza ikipewa mkono wa serikali hata kwa asilimia 30 tu, si itanyea kambi πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
 
Dsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6,gepu la nyumba ni kidogo sana na nyumba zinazoendelea kujengwa mwanza ni nyingi kuliko Dsm, na Dsm kuna projects kibao za ujenzi wa nyumba za mashirika ya serikali mara Samia scheeme, lakini mwanza ni juhudi za raia, hii inaonesha dhahiir Dsm kuna umasikini wa kutupwa Vipi mwanza ikipewa mkono wa serikali hata kwa asilimia 30 tu, si itanyea kambi πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
Jiulize kwanini serikali inawekeza Dar??
Hizo nyumba zote zinazowekezwa hazikosi wateja.
Jiulize zingejengwa Mwanza zingekua na wateja kama Dar??
Yani unaita watu masikini ilhali hizo nyumba wanauziwa tena kwa bei kubwa tu.
Kwani hizo nyumba Mama Samia anazigawa bure!?
 
Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni, idadi ya nyumba za makazi tumewachapa fimbo

Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni hawana nyumba za kuishi
Kama hawana nyumba za kuishi kwanini mashirika ya nyumba yanawekeza sana kuliko Mwanza??
Halafu idadi ya magorofa naona umeficha.
 
Kaka hawa ni wale waliokimbia kwao namtumbo mji wao wa Kwanza kutua ukawa Dar usikute mwanza anaipita tu barabarani anaona kaimaliza Mwanza,, fikiria Dar asilimia kubwa ni tambarare Mwanza ni milima lakini panda milimani huko uone raia walivyopotimosha madude ukizingatia ujenzi wa milimani ni gharama upasue kwanza miamba utafute level bado upandishe materials juu lakini bado milimani kuna mahekalu ya maana
 
Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??

-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.

Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.

Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.

Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??

-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.

Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.

Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.
Hivi unajua igogo ipo tangu mwaka gani?
 
Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??

-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.

Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.

Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.
Wewe upo serious kweli? Kwamba makabe na kijichi kwa wakishua 🀭🀭
 
Back
Top Bottom