The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Mbali na bandari Dar is slums inakipi cha kuoffer?Bustani anaita shamba!??
ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na bandari Dar is slums inakipi cha kuoffer?Bustani anaita shamba!??
ππππππππ
Mbona unahama mada!?Dar es salaam viwanja vya milion mija hadi laki saba ni vingi tu, Hata matajiri wa Dsm ni hao wahindi na waarabu, ngozi nyeusi wote kapuku tu, Mfano hata matajiri wa mabasi yote yanayoenda Dsm kutoka mikoani wamiliki asilimia 98% sio wakazi wa Dsm, Mfano katarama anashusha iriza ni lake zone tena ngozi nyeusi, tofauti na huko Dsm
Huwezi tegemea Bandari pekee kuendesha hicho kimkoa chenu kwanini mpaka sasa mnajenngea pesa za watu wa mikoani?Thubutuuuu.
Kitu cha kwanza tungewachapa nacho ni bandari.
Maana mizigo mingi mikubwa ikiwemo ya nishati mafuta,ngano,magari vinakuja kwa meli na bandari kuu ni ya Dar es salaam Posta.
Nani kakwambia Dar inategemea pesa za mikoani?Huwezi tegemea Bandari pekee kuendesha hicho kimkoa chenu kwanini mpaka sasa mnajenngea pesa za watu wa mikoani?
Mbona kwenye idadi ya magorofa umeficha?
Dsm imechapwa vibaya sana kwa ujenzi wa nyumba zinazoendelea, Mwanza hakuna project yeyote ya serikali hizi ni juhudi za wananchi tu, vipi wakileta hizo Samia scheeme mwanza itakuaje?
Inasomaje hapo kwenye nyumba zinazoendelea kujengwa?, kati ya Dsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6Mbona kwenye idadi ya magorofa umeficha?
Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni, idadi ya nyumba za makazi tumewachapa fimbo
Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni hawana nyumba za kuishi
Jiulize kwanini serikali inawekeza Dar??Dsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6,gepu la nyumba ni kidogo sana na nyumba zinazoendelea kujengwa mwanza ni nyingi kuliko Dsm, na Dsm kuna projects kibao za ujenzi wa nyumba za mashirika ya serikali mara Samia scheeme, lakini mwanza ni juhudi za raia, hii inaonesha dhahiir Dsm kuna umasikini wa kutupwa Vipi mwanza ikipewa mkono wa serikali hata kwa asilimia 30 tu, si itanyea kambi πππππ
Unataka umaanishe nini!??Inasomaje hapo kwenye nyumba zinazoendelea kujengwa?, kati ya Dsm yenye watu milioni 7 na mwanza yenye watu milioni 3.6
Kama hawana nyumba za kuishi kwanini mashirika ya nyumba yanawekeza sana kuliko Mwanza??Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni, idadi ya nyumba za makazi tumewachapa fimbo
Wakazi wengi wa Dsm wanaishi masakuroni hawana nyumba za kuishi
Tukisema huijui Dar tutakua tumekosea!??
Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??
-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.
Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.
Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.
Hivi unajua igogo ipo tangu mwaka gani?Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??
-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.
Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.
Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.
Tubishane kwa hoja acha paparaAcha dharau, Yaani Mwanza iizidi Dar , kweli watu mnafikiri sijui Kwa kutumia Nini? Au Dar mnaichukuliaje?
Wewe upo serious kweli? Kwamba makabe na kijichi kwa wakishua π€π€Kelele nyingii kama debe tupu.
Pia inaonekana hujui kwanini matajiri wanawekeza katika nyumba.
Nyumba ya Avic town moja unajenga bungalow nne hapo Mwanza.
Pale Avic town nyumba ndogo tu ni 250 millions shillings.
Chukua hiyo nenda kajenge Mwanza unajenga nyumba ngapi.
Halafu unasema watu wameshindwa kujenga.
Are you mad or what!??
-Kuhusu Tandale nilishakujibu ile ni miji mikongwe nyumba zao ni za miaka ya 1970s kipindi hiko cha mzizima.
Na saa hata huko Tandale kumeanza kurekebishwa kwa kubomoa makazi ya zamani.
Na hilo linafanywa na matajiri wa kawaida.
Kijichi,Kigamboni,Bunju,Ununio,Mbweni,Goba ambako kunaanzishwa miji mipya hukuti uswazi kwasababu kunajengwa kwa mpangilio.
Ila sijui wewe kijana wa juzi??
Nenda Tandale kafanye tafiti uulize wenye nyumba wamejenga lini kama sio miaka ya uhuru huko.
Pia huu mji kuwa na makazi holela ni lazima kulingana na msukumo wengi wa watu hivyo hupelekea ujenzi wa bei rahisi na usio na mpangilio.
Hili suala halipo Dar peke yake, commercial city nyingi duniani zinakumbwa na tatizo hili.
Hata Shanghai vile vile.
Hizo sehemu zenu za kitajiri bado kuzifikia Oysterbay,Msasani,Kijito nyama,Mikocheni, Mbezi beach, Mbezi makabe,Kijichi,Somangila.
Mbweni,Ununio napaweka pembeni nitawaua.
Unatolea mfano wa Dodoma kwani Dodoma kuna ziwa,mto au bahari??
Mbona kama haujasoma shule kaka?
Kwani Mwanza si kuna ziwa kwani hakuhitajiki speed boat?
Tena speed boat zingewasaidia sana kuvuka kutoka Kigogo kuelekea Busisi kwa muda mfupi.
Tanua akili.
Kanitafutie magorofa marefu yenye height kuanzia 80 metres and above yenye blue glass architecture Mwanza kama;
-PSPF tower.
-TPA tower.
-Nyerere square.
-PSSSF tower.
-Rita tower.
-Millenium tower.
-Uhuru heights.
-Morocco square.
-NHC tower Morocco.
-Victoria.
Hizo zinakutosha.
Nenda kanitafutie majengo marefu kuanzia 80 metres and above hapo Mwanza.
Watu wanaikuza sana Dar is slums Aya sasa bishaneni na hizo data