Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Tuoneshe na maghorofa ya katikati ya mji pale kariakoo yapoje?Magorofa haya si sawa na yale yanayojengwa Tandika na Temeke mwisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuoneshe na maghorofa ya katikati ya mji pale kariakoo yapoje?Magorofa haya si sawa na yale yanayojengwa Tandika na Temeke mwisho?
Ndio huo ndio ukweliMimi ni mzaliwa wa Mwanza, nimekulia Mza na nilihama huko 2003 kuja Dar. Sasa imepita miaka 21 niko hapa. Nimeishi Hananasif, Mkwajuni, Makumbusho, Tabata, na Kibamba. Mwanza nimekuwa mtembezi tu kwa mwaka mara moja.
Frankly speaking, Mza itachukua hata miaka 30 kufika mahali Dar ilipo kwa sasa. Huwezi linganisha Mza na Dar. Labda tuseme Mza ijifunze nini kutoka Dar, tena sio Dar nzima, bali manispaa tu ya Kinondoni. Si kwamba Mza hakuna maendeleo, yapo ila bado sana.
Zaidi ya majabali kuna nini cha maana kwenye hicho kijijini cha mwanza.Njoo uione Capri point,,bwiru,,miti mirefu,,mwananchi nk... hapa Mwanza unaweza hisi uko peponi.
Chukua likeUkitaka comfortable life la kuishi kama binadamu, ishi mwanza na mikoa mingine ila kama unapenda kukimbizana kama mifugo ishi DAR.
NB: Wenye pesa ndiyo wanaenjoy kukaa Dar.
Njoo ukione cha zadi katika jiji murua la miamba,,,acha kujificha tandale kwa tumbo ukishindia miguu ya kuku na maji ya kandoro ukajiona uko mjini,,Dar is slum wengi mnaishi kama mko kuzimu hadi hurumaZaidi ya majabali kuna nini cha maana kwenye hicho kijijini cha mwanza.
Sisi ndiyo ni wasukuma na tunajikubali vipi mwenzetu we ni kabila gani?Duuh,hawa wasukuma wameota mikia sasa!🤣🤣🤣
Kwamba wewe ni mzaramo wa Dar sioDuuh,hawa wasukuma wameota mikia sasa!🤣🤣🤣
Endelea kutaja ukabila hawa wasukuma wana noti chafu kuzidi hayo makabila mnaojiona eti wajanja kumbe ni upimbi mtupuDuuh,hawa wasukuma wameota mikia sasa!🤣🤣🤣
Nakuletea picha yake.Tuoneshe na maghorofa ya katikati ya mji pale kariakoo yapoje?
Dar kuna matajiri Mwanza hakuna.Njoo ukione cha zadi katika jiji murua la miamba,,,acha kujificha tandale kwa tumbo ukishindia miguu ya kuku na maji ya kandoro ukajiona uko mjini,,Dar is slum wengi mnaishi kama mko kuzimu hadi huruma
Hiyo msimbazi kuelekea hadi soko kuu la kariakoo na mbele huko.Tuoneshe na maghorofa ya katikati ya mji pale kariakoo yapoje?
Hivi unajua kama hao walala nje wapo hadi wasukuma wenzako waliokuja kujaribu maisha huku!??
Kukimbizana hiyo kawaida huu mji una watu wengi na wengine wamekuja kutafuta wasepe kujenga kwao.
Uzi ufungwe Dar ni overated lakini watu wana maisha magumu mno.
Overrated unafahamu maana ya overrated??Uzi ufungwe Dar ni overated lakini watu wana maisha magumu mno.
Umewekewa facts za sensa bado unabisha nini ndugu? Idadi kubwa ya watu wa Dar hawana makazi, linganisha hiyo idadi ya majengo na idadi ya watu ndiyo utapata majibu nini maana ya hizo namba kutoka NBS.Overrated unafahamu maana ya overrated??
Hatukatai wapo wenye maisha magumu na omba omba.
Hata Shanghai kuna omba omba pia na walala nje.
Ila Shanghai ndio jiji la pesa pale China.
Ndio sawa ukija na Dar.
Dar kuna matajiri wakubwa mara elfu ya Mwanza.
Kuna nani anatia mguu kwa Ghalib Said Mohammed hapo Mwanza??
Hiyo ni Msasani Palm village,hapo ni makazi na nyumba za starehe za watu binafsi.
Wapi Mwanza unapakuta kama hivi?View attachment 3100528
Ni kipi nilichobisha??Umewekewa facts za sensa bado unabisha nini ndugu? Idadi kubwa ya watu wa Dar hawana makazi, linganisha hiyo idadi ya majengo na idadi ya watu ndiyo utapata majibu nini maana ya hizo namba kutoka NBS.
Overrated unafahamu maana ya overrated??
Hatukatai wapo wenye maisha magumu na omba omba.
Hata Shanghai kuna omba omba pia na walala nje.
Ila Shanghai ndio jiji la pesa pale China.
Ndio sawa ukija na Dar.
Dar kuna matajiri wakubwa mara elfu ya Mwanza.
Kuna nani anatia mguu kwa Ghalib Said Mohammed hapo Mwanza??
Hiyo ni Msasani Palm village,hapo ni makazi na nyumba za starehe za watu binafsi.
Wapi Mwanza unapakuta kama hivi?View attachment 3100528
Sasa hapa kuna nini cha ajabu zaidi kuona slum zilizochangamkaHiyo msimbazi kuelekea hadi soko kuu la kariakoo na mbele huko.
Hapo ni katikati ya mji.
Kama hujaridhika sema uletewe zingine.View attachment 3100484View attachment 3100485
Pabaya sana utadhani Afghanistan bhana...Hiyo msimbazi kuelekea hadi soko kuu la kariakoo na mbele huko.
Hapo ni katikati ya mji.
Kama hujaridhika sema uletewe zingine.View attachment 3100484View attachment 3100485