Inspector Jws
Senior Member
- May 23, 2024
- 126
- 242
- Thread starter
- #21
Dar, ni kutumia pesa tu siyo kutafutNa ukitaka kutengeza pesa pia ishi Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar, ni kutumia pesa tu siyo kutafutNa ukitaka kutengeza pesa pia ishi Dar es salaam
Ni wazo lako, nenda utembee MWANZAUsifananishe Dar na ujinga huo
Mimi msukuma wa Mwanza mkuuNi wazo lako, nenda utembee MWANZA
We jamaa huwezi kuwa serious.Mwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Wengi ni wale waliokuaja kusoma chuohapa wanaoisifia dar ukute ata sio wazalamo
Itoshe kusema hujiheshimuMwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Ukitoa nairobi daslam hufananishi na jiji lolote hapa afrika mashariki huyu kalewa vichwa vya sangara analeta utoto gani sijuiUnaifahamu Dar es Salaam?
Tanzania hakuna mkoa wowote/Jiji lolote linaloweza kufanyiwa ulinganisho na Dar, labda Dar ilinganishwes na Nairobi, Harare, Kampala etc.
Nipo sawa kabisaWe jamaa huwezi kuwa serious.
Itakua umelewa.
We jamaa uko sawa kweli?...unawezaje kufananisha mwanza na dar?Acha utani aiseeMwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Basi Mwanza sio ya kuifananisha na Dar es salaam.Nipo sawa kabisa
Sifa za kuwa Jiji ni zipi?...tukijibu hili swali basi tutakuwa tumeokoa muda mwingi sana, maana hofu yangu ni kwamba tusije tukawa na "majiji-vijiji" tukawa tumepoteza maana
Oyy okay hayo n mawazo yk, lakini pia kwanza ni jiji ambalo lina vigezo vyoteBasi Mwanza sio ya kuifananisha na Dar es salaam.
Hususan sasa ambapo sehemu kubwa ya mji inabomolewa na kurekebishwa.
Pia hata kwa uchangiaji wa pato la taifa.
Pia hata kiutafutaji huwezi fananisha Dar na Mwanza.
Dar kupo juu sanaaaaaaaa.
Hii umefika mbali, yaani mwanza ulinganishe na ArushaMwanza ulinganishe na Dar haupo serous bora hata
Arusha kuna mzunguko mkubwa wa ela baada ya
Dar.
Dar onoda bandari hamna lolote! Angalia Nairobi lile ndio jiji ila nisije kuwa nabishana na ambae hata dar au Nairobi hajafikaBasi Mwanza sio ya kuifananisha na Dar es salaam.
Hususan sasa ambapo sehemu kubwa ya mji inabomolewa na kurekebishwa.
Pia hata kwa uchangiaji wa pato la taifa.
Pia hata kiutafutaji huwezi fananisha Dar na Mwanza.
Dar kupo juu sanaaaaaaaa.