Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Oyy okay hayo n mawazo yk, lakini pia kwanza ni jiji ambalo lina vigezo vyote
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Huo ndio uhalisia.
Tukianza na GDP Dar peke yake inachangia zaidi ya 40% ya GDP ya Tanzania kama sijakosea.
Mwanza inachangia ngapi!?
Kuja kwenye uwekezaji wa biashara,viwanda,ujasiriamali mdogo hadi mkubwa Dar kuna idadi kubwa ya wafanyabiashara kuliko Mwanza na matajiri wakubwa wa hii nchi wako Dar.
Kulingana na kuwepo na idadi kubwa ya wakaazi takriban milion 6 imechagiza ukuaji wa biashara zaidi kulingana na hitajiko kubwa la uhitaji.
Dar takriban yote imejengeka,kila unapoenda Dar hukosi magorofa hata uende Chanika ndani ndani.
 
U
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Huo ndio uhalisia.
Tukianza na GDP Dar peke yake inachangia zaidi ya 40% ya GDP ya Tanzania kama sijakosea.
Mwanza inachangia ngapi!?
Kuja kwenye uwekezaji wa biashara,viwanda,ujasiriamali mdogo hadi mkubwa Dar kuna idadi kubwa ya wafanyabiashara kuliko Mwanza na matajiri wakubwa wa hii nchi wako Dar.
Kulingana na kuwepo na idadi kubwa ya wakaazi takriban milion 6 imechagiza ukuaji wa biashara zaidi kulingana na hitajiko kubwa la uhitaji.
Dar takriban yote imejengeka,kila unapoenda Dar hukosi magorofa hata uende Chanika ndani ndani.
Ushawahi kufika mwanza?
 
Na bandari washauz
Msidanganyane mkuu na hizo pumba zenu.
Ukitoa bandari Dar ina mass industries hata ya kushindana na hiyo Nairobi.
Pia ina uwekezaji mkubwa wa sekta zingine hususan sekta za kifedha.
Hao kina Ghalib Said viwanda vya GSM vipo Dar.
Mohammed Dewji viwanda makao makuu vipo Dar.
Said salim Bakhresa viwanda vikuu vipo Dar.
Kuna viwanda vingine viiingiiii saanaa kila wilaya.
 
Msidanganyane mkuu na hizo pumba zenu.
Ukitoa bandari Dar ina mass industries hata ya kushindana na hiyo Nairobi.
Pia ina uwekezaji mkubwa wa sekta zingine hususan sekta za kifedha.
Hao kina Ghalib Said viwanda vya GSM vipo Dar.
Mohammed Dewji viwanda makao makuu vipo Dar.
Said salim Bakhresa viwanda vikuu vipo Dar.
Kuna viwanda vingine viiingiiii saanaa kila wilaya.
Viwanda vipo Pwani
 
Msidanganyane mkuu na hizo pumba zenu.
Ukitoa bandari Dar ina mass industries hata ya kushindana na hiyo Nairobi.
Pia ina uwekezaji mkubwa wa sekta zingine hususan sekta za kifedha.
Hao kina Ghalib Said viwanda vya GSM vipo Dar.
Mohammed Dewji viwanda makao makuu vipo Dar.
Said salim Bakhresa viwanda vikuu vipo Dar.
Kuna viwanda vingine viiingiiii saanaa kila wilaya.
Umehamisha magoli,batyle ni dar vs mwanza.
Dar international airport ulinganishe na hiyo air strip ya mwanza,
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Huo ndio uhalisia.
Tukianza na GDP Dar peke yake inachangia zaidi ya 40% ya GDP ya Tanzania kama sijakosea.
Mwanza inachangia ngapi!?
Kuja kwenye uwekezaji wa biashara,viwanda,ujasiriamali mdogo hadi mkubwa Dar kuna idadi kubwa ya wafanyabiashara kuliko Mwanza na matajiri wakubwa wa hii nchi wako Dar.
Kulingana na kuwepo na idadi kubwa ya wakaazi takriban milion 6 imechagiza ukuaji wa biashara zaidi kulingana na hitajiko kubwa la uhitaji.
Dar takriban yote imejengeka,kila unapoenda Dar hukosi magorofa hata uende Chanika ndani ndani.
Dar GDP ni asilimia 17% na Mwanza ni asilimia ka 9%
Ndo mikoa inayokimbizana!
Unaweza kucheki hapa!
Dar isingekuwa na upendeleo wa kiserkali ingekuwa inapambana na Mwanza sambamba!
Screenshot_20240916_181406_Chrome.jpg
 
Dar GDP ni asilimia 17% na Mwanza ni asilimia ka 9%
Ndo mikoa inayokimbizana!
Unaweza kucheki hapa!
Dar isingekuwa na upendeleo wa kiserkali ingekuwa inapambana na Mwanza sambamba!View attachment 3097626
Kwani huo upendeleo wa serikali unakuja tu bure bure!?
Mbona Dodoma imepewa upendeleo wa kiserikali ila bado haijainuka kama inavyotakikanika!??
Ukiona serikali inawekeza sehemu jua kwamba hiyo sehemu ina economic potentials nyingi sana mkuu.
Ahsante kwa kunisahihisha kuhusu GDP.
 
Dar kinachoibeba ni serkali tu ila kwenye issue zingine inabattle na Mwanza vizuri tu!
Mfano kwenye ujenzi majengo ya makazi bila kuhusisha mashirika mtaani Mwanza inapambana na Dar
Aaah wee thubutu embu jishikilie mkuu.
Lete mtaa mmoja wa Mwanza nikupigie mfano wa mtaa mmoja ulojengwa na wapemba tu wauza pweza hapo Kigamboni.
 
U

Ushawahi kufika mwanza?
Mwanza yote naijua,Dar yote naijua,mwanza linganisha na arusha au dodoma huko,capri point ndio masaki yamwanza ila unaizunguka kwa miguu dakika 5,masaki utaizinguka siku nzima
Airport ya mwanza ni kituko,
Barabara za mwanza bado sana ukiacha hiyo ya kwenda airport zingine gakuna kitu.
Dar ina watu milioni 6
Mwanza sijui kama wanazidi milioni 2
Viwanda,viwanja vya starehe,viwanja vya mpira,kirumba ni ukubwa tu ila hamna kitu,nyamagana ni uwanja wa mazoezi palekarume TFF,
Linganisha mwanza na Dodoma mkuu
 
Mwanza yote naijua,Dar yote naijua,mwanza linganisha na arusha au dodoma huko,capri point ndio masaki yamwanza ila unaizunguka kwa miguu dakika 5,masaki utaizinguka siku nzima
Airport ya mwanza ni kituko,
Barabara za mwanza bado sana ukiacha hiyo ya kwenda airport zingine gakuna kitu.
Dar ina watu milioni 6
Mwanza sijui kama wanazidi milioni 2
Viwanda,viwanja vya starehe,viwanja vya mpira,kirumba ni ukubwa tu ila hamna kitu,nyamagana ni uwanja wa mazoezi palekarume TFF,
Linganisha mwanza na Dodoma mkuu
Wewe upo serious kweli? Masaki ya kuizunguka siku nzima? Unaizunguka kwa kutambaa au?
 
Back
Top Bottom