Sie tunazungumzia Ilemela na Kigamboni elewa!Hizo eneo nawapa TEMEKE AZIZI ALLY inatoshana na sehemu zote ulizotaja.
Tena nawapa mtaa mmoja wa Taveta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie tunazungumzia Ilemela na Kigamboni elewa!Hizo eneo nawapa TEMEKE AZIZI ALLY inatoshana na sehemu zote ulizotaja.
Tena nawapa mtaa mmoja wa Taveta.
Dsm asilimia 96% ni uswazi tu, raia wanaishi maisha magumu kinoma kwenye vijumba vya ajabu ajabuLeta picha tuone
Kufeck maisha kwa watu wa Dar kunawaumiza sana!Dsm asilimia 96% ni uswazi tu, raia wanaishi maisha magumu kinoma kwenye vijumba vya ajabu ajabu
Naipenda mwanza japo mimi sio wa mwanza wowote mwenye chuki na mwanza na morogoro huyo ni chizi aiseeMwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Naona wameshakalili maisha Usagara mpaka makao makuu ya manispaa ya Ilemela kule Buswelu ni kama 45km na kote mji umejengekaUnajua kuna mtu anaamini kabisa Mwanza ni kamji kadogo hivi kasikokuwa na maana!
Mtu akipanda daladala Usagara mpaka Ilemela ni Kolometer sio chini ya 35 lakini kote ni mji tu na pote pa moto!
Mie nimemjibu huyo sio wewe.Sie tunazungumzia Ilemela na Kigamboni elewa!
Uswazi ya Daresalaam huwezi fananisha na nyumba za kimasikini za Mwanza.Dsm asilimia 96% ni uswazi tu, raia wanaishi maisha magumu kinoma kwenye vijumba vya ajabu ajabu
HakikaNaipenda mwanza japo mimi sio wa mwanza wowote mwenye chuki na mwanza na morogoro huyo ni chizi aisee
Huna akiliMwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Sawa,inaonekana ww upo darHuna akili
80% ya dar in squatter miaka 60 ya uhuru hata mifreji ya maji machafu imetushindaUnaifahamu Dar es Salaam?
Tanzania hakuna mkoa wowote/Jiji lolote linaloweza kufanyiwa ulinganisho na Dar, labda Dar ilinganishwes na Nairobi, Harare, Kampala etc.
Bora mwanzaDar, mwanza kote watu ni maskini tu hakuna maajabu wala nini kiufupi bongo bado sana
Mkuu hauna pesa wewe.Kufeck maisha kwa watu wa Dar kunawaumiza sana!
Cha ajabu wanaamini Dar ni paradise yao kumbe wanapotea!
Usiniletee haya magofu ya Dege huko maana tayari ni magofu hayo!Mie nimemjibu huyo sio wewe.
Wewe rudi kule nikupe dozi.
Umeona cluster ya magorofa??
Na bado inajengwa kigamboni.
Hapo nimekuletea Somangira tu subiri nikuletee Kata ya Kibada na Kisiwani.View attachment 3097678View attachment 3097679View attachment 3097680
Nimekwambia hakuna nyumba kali kigamboni kuzidi nyumba zote Ilemela sahau!Mkuu hauna pesa wewe.
Wenzako wanazo na wanaishi maisha mazuri.
Hizo gorofa ambazo nimekuonesha ni za makazi zilizokamilika upande wa Muongozo zimeshanunuliwa tena na waswahili pure kabisa.
Zingine za gorofa moja moja zimeshanunuliwa zimeisha.
Bado hizo zingine zinajengwa.
Hiyo ni Kigamboni.
Pesa hauna wewe msukuma.
😂😂😂😂😂😂Huijui Kigamboni kijana.Usiniletee haya magofu ya Dege huko maana tayari ni magofu hayo!
Nikwambie tu hakuna nyumba kali ya ajabu kigamboni utaikosa Ilemela wadanganye wasiojua Kigamboni!
Kwanza Kigamboni nzima hakuna hotel kama Malaika Beach ruka urukavyo!
Hzii ndo nyumba umeona za maana sana huko kigamboni!Mie nimemjibu huyo sio wewe.
Wewe rudi kule nikupe dozi.
Umeona cluster ya magorofa??
Na bado inajengwa kigamboni.
Hapo nimekuletea Somangira tu subiri nikuletee Kata ya Kibada na Kisiwani.View attachment 3097678View attachment 3097679View attachment 3097680