Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

😂😂😂😂😂😂Huijui Kigamboni kijana.
Hapo nimekuletea picha nne.
-Mwongozo.
-Dege(ndio hizo hazijakamilika ambazo hazina rangi)
-Mji mwema.
-Somangika Avic town.

Wewe unasema unaijua Kigamboni!!?
Hata hizo picha umeshindwa kuzing'amua.
Bado nipo job ila nakaribia kufunga kazi nikiwa narudi nakupigia picha uione Kibada kijana.

Pia nakuletea hotel unazozitaka kutoka Kigamboni.
Wewe fanya ufanya kigamboni haiwezi kuizidi Ilemela hata kidogo!
 
Mwanza ulinganishe na Dar haupo serous bora hata

Arusha kuna mzunguko mkubwa wa ela baada ya
Dar.
Mzunguko wa hela unapimwa kwa kipimo cha mdomo au unatumia kipimo gani? Hiyo arusha hta kwa kahama tu haifui dafu, ukitaka kutafuta hela nenda mikoa yenye uchumi mkubwa, na uchumi unapimwa kwa kutumia GDP na sio makamasi.
 
Wewe fanya ufanya kigamboni haiwezi kuizidi Ilemela hata kidogo!
Umetaka hotel.
Hapona kuna Sunrise,South beach na Kijiji.
Hizo zinakutosha kwa leo.
Screenshot_2024-09-16-19-26-26-63_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-16-19-27-36-54_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-16-19-29-35-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-16-19-40-55-00_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
1. Idadi ya Watu.
- Mara nyingi, idadi ya watu ni kigezo muhimu. Kwa mfano, mkoa unahitaji kuwa na idadi kubwa ya wakazi ili kutimiza hadhi ya jiji. Nchini Tanzania, idadi ya watu inaweza kuwa zaidi ya 500,000 ili mkoa uanze kufikiriwa kuwa jiji.

2. Maendeleo ya Kiuchumi.
- Mkoa unahitaji kuwa na kiwango kikubwa cha shughuli za kiuchumi, viwanda, biashara, na huduma za kifedha. Jiji lazima liwe na uwezo wa kutoa ajira nyingi kwa wakazi wake na kuwa na uchumi unaokua kwa kasi. Uwepo wa viwanda vikubwa, biashara za kimataifa, na huduma za kitaifa ni muhimu.

3. Miundombinu.
- Jiji lazima liwe na miundombinu bora kama barabara, mfumo wa maji safi na taka, umeme, hospitali, na shule. Uwepo wa usafiri wa umma na uwezo wa kushughulikia ongezeko la watu na maendeleo ya kiuchumi ni muhimu.

4. Huduma za Kijamii
- Mkoa lazima uwe na huduma bora za kijamii kama elimu, afya, na burudani kwa wakazi wake. Shule, vyuo, hospitali, vituo vya burudani, na viwanja vya michezo ni alama ya ukuaji wa kijamii unaohitajika kwa jiji.

5. Utawala na Uongozi.
- Mkoa ambao unataka kuwa jiji lazima uwe na utawala unaojitegemea, unaoweza kushughulikia changamoto za kiutawala, kiuchumi, na kijamii kwa ufanisi. Pia, ni lazima uwe na utaratibu wa bajeti inayojitosheleza ili kusaidia mahitaji ya kijiiji.

6. Mchango katika Maendeleo ya Taifa
- Mkoa unahitaji kutoa mchango muhimu katika maendeleo ya taifa kupitia kodi, ajira, na kuwa kitovu cha shughuli za kibiashara, kiuchumi, na kimataifa.

Kuhitimisha, miji mikubwa kama MWANZA NA DAR ES SALAAM imepata hadhi ya kuwa majiji kutokana na kukidhi vigezo hivi, ambavyo vinaonyesha uwezo wa jiji katika kutoa huduma za msingi kwa wakazi wake na kuchangia katika maendeleo ya kitaifa.
Uhakika mkuu.
 
Mwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali,Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Acha Mara moja kuifananisha dar es salaam TZ na MWANZA..

Mwanza ikifika jumapili jion hakuna usafir utasimama hapo nyakato sokoni / mecco masaa yaan muda mrefu bila usafir (transport)

Wakati mbagala/mbande/msongola kitonga/mvuti/ chanika /dondwe usafir uhakika 24/7

Nawasalimia TU.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂.
Huo ndio uhalisia.
Tukianza na GDP Dar peke yake inachangia zaidi ya 40% ya GDP ya Tanzania kama sijakosea.
Mwanza inachangia ngapi!?
Kuja kwenye uwekezaji wa biashara,viwanda,ujasiriamali mdogo hadi mkubwa Dar kuna idadi kubwa ya wafanyabiashara kuliko Mwanza na matajiri wakubwa wa hii nchi wako Dar.
Kulingana na kuwepo na idadi kubwa ya wakaazi takriban milion 6 imechagiza ukuaji wa biashara zaidi kulingana na hitajiko kubwa la uhitaji.
Dar takriban yote imejengeka,kila unapoenda Dar hukosi magorofa hata uende Chanika ndani ndani.
Acha kukariri madesa, Dar ni 17% na Mwanza ni 9%, na kingine kinachosababisha ilo gap la GDP ni kuwa uchumi wa nchi wameu centralize Dar, HQ nyingi zipo Dar, na kila muhamala unaofanya kwa njia ya simu mapato yanahesabiwa Dar, mf brela n.k, hata mizigo mtu wa Mwanza kaagiza magari Japan lakini mzigo ukifika bandari ya Dar mapato yote, ushuru, kila kitu kinahesabiwa Dar, mtu wa mbeya analima mazao yanapelekwa Dar kufanyiwa processung na mapato yote yanahesabiwa Dar, mikoa ya Tanzania inatumika kuijenga Dar kiuchumi, mbali na hayo lakini Mwanza bado inaonesha mabavu kwa Dar, Mwanza haina mbeleko lakini inafukuza mwizi taratibu.
 
Acha kukariri madesa, Dar ni 17% na Mwanza ni 9%, na kingine kinachosababisha ilo gap la GDP ni kuwa uchumi wa nchi wameu centralize Dar, HQ nyingi zipo Dar, na kila muhamala unaofanya kwa njia ya simu mapato yanahesabiwa Dar, mf brela n.k, hata mizigo mtu wa Mwanza kaagiza magari Japan lakini mzigo ukifika bandari ya Dar mapato yote, ushuru, kila kitu kinahesabiwa Dar, mtu wa mbeya analima mazao yanapelekwa Dar kufanyiwa processung na mapato yote yanahesabiwa Dar, mikoa ya Tanzania inatumika kuijenga Dar kiuchumi, mbali na hayo lakini Mwanza bado inaonesha mabavu kwa Dar, Mwanza haina mbeleko lakini inafukuza mwizi taratibu.
Acha kusingizia mbeleko kijana.
Dar es salaam ni business hub ya hii nchi.
Hiyo GDP haipimwi na mapato ya serikali peke yake.
Bali pia uwekezaji binafsi uliowekwa na mashirika binafsi katika huu mkoa.
Piga mahesabu Dar es salaam ina viwanda vingapi vya WATU BINAFSI achana na vya serikali halafu rudi Mwanza ina idadi ya viwanda vingapi vya mashirika ama watu binafsi.
 
Hivyo viwanda kwa kuona vipo Pwani lakini ni kama Dar imeazima viwanja Pwani waweke viwanda, ingekuwa viwanda vinamchango wa kiuchumi mkoani Pwani basi wasingekuwa mkiani kwenye uchumi, na umaskini uliotopea.
Idadi ya viwanda vya pwani unalinganisha na vya Dar es salaam!?
Hao wafanyakazi wa hivyo viwanda vya Pwani wanafanya kazi Pwani wanakuja kujenga Dar.
Ndio ujue Dar iko more environmental friendly kuliko kwingine.
 
Back
Top Bottom