Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika majiji ya Tanzania, Mwanza ndio jiji lenye mandhari kali kuliko yote, Dsm inaizidi mwanza majengo marefu na Fryover tuJiji la wachapa kazi hili,,siyo la mbeleko Lakini linawaka kinoma
Wazaramo wa mchongo najua watabisha 😂Katika majiji ya Tanzania, Mwanza ndio jiji lenye mandhari kali kuliko yote, Dsm inaizidi mwanza majengo marefu na Fryover tu
Dar kila sehemu ina namna yake ya maisha.Hii sehemu ingekuwa dar ingekuwa vurugu tupu, wauza miguu ya kuku na wateja wao wangekuwa wamejaa hapo.
Kwa mandhari mie ningechagua Zanzibar.Katika majiji ya Tanzania, Mwanza ndio jiji lenye mandhari kali kuliko yote, Dsm inaizidi mwanza majengo marefu na Fryover tu
Tunaongelea majiji ya Tanzania baraKwa mandhari mie ningechagua Zanzibar.
Zanzibar kuna mandhari safi ya kuvutia kuliko popote hapa Tanzania.
Tunaongelea majiji ya Tanzania baraKwa mandhari mie ningechagua Zanzibar.
Zanzibar kuna mandhari safi ya kuvutia kuliko popote hapa Tanzania.
Kwa hilo sikatai Mwanza ina mandhari nzuri.Tunaongelea majiji ya Tanzania bara
Mji una bus terminal mbili zote kali na zote zipo busy sana, na central market kubwa nazani ni namba mbili baada ya kariakoo market naserikali inatuhujumu tu kwenye barabara na uwanja wa ndegeView attachment 3103036Nyamhongoro bus terminal
Tulia wewe.Ndo mnavyojidanganya watu mliolowea Dar is slum,,hapo Dar robo tatu mnaishi maisha ya kilofa sana kula ya ku unga unga,, halafu Dar is slum nazungumzia na naijua vizuri sana hakuna cha kunishangaza hapo