Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Nishaona umeishiwa hoja.
Kama umeishiwa hoja sema.
View attachment 3100947
Sijaishiwa hoja broo dar is slum sioni maajabu ya kuitishia Mwanza zaidi ya hizo brt fly over na vi ghorofa virefu viwili vitatu ambazo hizo flyover na brt bado hatujawa na mahitaji nazo Kwa sababu usafiri wetu tulionao unatutosheleza na haturundikani kwenye daladala kama huko dar is slum na tunafika kwenye mishe zetu ontime
 
Sijaishiwa hoja broo dar is slum sioni maajabu ya kuitishia Mwanza zaidi ya hizo brt fly over na vi ghorofa virefu viwili vitatu ambazo hizo flyover na brt bado hatujawa na mahitaji nazo Kwa sababu usafiri wetu tulionao unatutosheleza na haturundikani kwenye daladala kama huko dar is slum na tunafika kwenye mishe zetu ontime
Nimekwambia nitajie magorofa yenye urefu kuanzia metre 80 Mwanza hujanitajia.
Umeishiwa hoja we kubali tu.
Nimekuletea magorofa kibao hakuna ulinganisho wowote ulioleta hapa unaongea tu maneno.
Nimekuletea magorofa ya mita 60 kwenda juu wewe unasema vigorofa vidogo.
Afrika mashariki ni Dar es salaam tu ndio ya kupambanishwa na Nairobi sio Mwanza.
Mwanza ni kijiji kilichochangamka.
Achana na kariakoo hiyo chini Upanga.
Ona hata aibu basi.
Screenshot_2024-09-20-11-09-51-24_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-20-11-10-53-80_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Nioneshe hapo jengo refu linalomilikiwa na mtu binafsi zaidi ya mbeleko bado jiji linapata busta kubwa lakini halina mvuto hiyo skyline inahuzunisha sana na hapo eti ndo katikati ya mji
Hapo majengo mengi ya watu binafsi ikiwemo hotel ya serena.
Kama skyline mbovu NITAFTIE SKYLINE KAMA HIYO MWANZA!??
 
Ebu ziorodheshe hizo higher building kama siyo za kiserikali ngoja nikusaidie kuna tpa tower,, ppf HQ,, NHC hq,,crdb HQ mawasiliano tower,,maji house,,mzizima tower hayo ndiyo majengo marefu na mmiliki siyo mtu binafsi ni taasisi za kiserikali bro ndo mnatamba nayo ebu nioneshe jengo refu hapo linalomilikiwa na mtu binafsi
😂😂😂😂😂😂😂😂Kwa akili zako bro hayo ndio majengo marefu pekeee!??
Bro are you serious!??
Dar ina majengo zaidi ya 20+ yenye urefu kuanzia 80 metre.
Na ya kuanzia 50-70 metre yapo mengi sanaa.
Subiri nikuletee ya watu binafsi.
*China plaza
*Magorofa yote ya Johari rotana.
*Onomo hotel.
*Mtaa wa Indian street asilimia kubwa majengo watu binafsi.
 
Nani kakwambia hakuna parking!??
Halafu mbona unahama bro?
Unaulizia mji kupangika au parking?
Mji kupangika kitu kingine na parking ni kitu kingine.
Kila eneo lina parking ila mrundikano wa watu na biashara barabarani ndio unaziba hizo parking.
Kwasababu kariakoo ni CBD hivyo mrundikano wa watu ni mkubwa sanaaa.
Wameongeza parking barabara ya kuelekea Karume,maana ukisema utumie parking za kawaida utakumbana na wachuuzi barabarani mtihani.

Mwanza kuna magorofa yalojazana kama hapo chini??View attachment 3100945View attachment 3100946
Majengo marefu ila hayavutii kabisa...
 
Hii sehemu ingekuwa dar ingekuwa vurugu tupu, wauza miguu ya kuku na wateja wao wangekuwa wamejaa hapo.
 

Attachments

  • cde7f49d7e22498a85da6871394b1f46.jpg
    cde7f49d7e22498a85da6871394b1f46.jpg
    119.1 KB · Views: 7
Back
Top Bottom