Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kufananisha Nairobi na vitu vya kijingaUnaifahamu Dar es Salaam?
Tanzania hakuna mkoa wowote/Jiji lolote linaloweza kufanyiwa ulinganisho na Dar, labda Dar ilinganishwes na Nairobi, Harare, Kampala etc.
Hapa pakawaida sana, nakupa Bwiru press na malaika tu hapo unakimbia Dsm is overated
Msigwa amekuwa bilionea amepiga pesa Dar?Na ukitaka kutengeza pesa pia ishi Dar es salaam
Mwanza vs Dar es Salaam: Nani Mfalme wa Majiji Tanzania?
Hadithi Mbili za Maendeleo,Tofauti, Ushindani, Mustakabali, Utalii, Uchumi, Miundombinu bora
Tunao ishi Mwanza tunakushangaa sijui umepatwa na shida gani mpk kufikia kulinganisha Dar na Mwanza. Kama unatumia kigezo cha samaki na dagaa sawa endelea.U
Ushawahi kufika mwanza?
Yawezekana mtaji kautoa DarMsigwa amekuwa bilionea amepaga pesa Dar?
Dar ya kwapani kwako labda 😆😆Yawekana mtaji kautoa Dar
Hapana ya matakoni kwakoDar ya kwapani kwako labda 😆😆
Koo nchi ya watu milioni 60,unataka wote waende Dar kusaka hela,? Haya mawazo yenu vijana yanawapotezaYawekana mtaji kautoa Dar
Njoo na facts sio kutumia mihemko halafu mparee wa milimani na Dar wapi na wapiUkitaka kulinganisha; Angalia vitu vinavyo fanana
Mambo ya kulinganisha Bajaji na Prado sio sawa kabisa!
Hayo umeyasema weweKoo nchi ya watu milioni 60,unataka wote waende Dar kusaka hela,? Haya mawazo yenu vijana yanawapoteza
Dsm is overatedHayo umeyasema wewe
Kwanini mkuuDsm is overated
Unaweza kulinganisha maana zote zinaingia petro station ⛽ kuweka mafutaUkitaka kulinganisha; Angalia vitu vinavyo fanana
Mambo ya kulinganisha Bajaji na Prado sio sawa kabisa!