Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Dsm is overated
Hapo vipi??
Screenshot_2024-09-22-14-03-37-82_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-22-16-17-26-52_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
IMG_20240922_161858.jpg
 
Wazaramo wa michongo tumewasambaratisha na scrapers zao, Mwanza sio pakuchukulia kama poa kama hujawahi fika nakushauri uende ukaone jiji swaaafii
Wapi wewe unakaa kujifariji!??
Yani Mwanza iishinde Dar es salaam!?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ngojea nikuanzishie dozi maalum.
Screenshot_2024-09-22-16-22-40-85_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-22-16-23-42-52_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Wapi wewe unakaa kujifariji!??
Yani Mwanza iishinde Dar es salaam!?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ngojea nikuanzishie dozi maalum.View attachment 3103367View attachment 3103368
Unaleta Nyumba za mashirika, huko hakuna msuri wa mtu imagine mwanza haijawahi kujenhewa mradi wowote wa nyumba kama hizo na bado tunawakimbiza tu
 
Dar is really overrated ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚View attachment 3103372
Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutosha
 
Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutosha

Mnaotetea mwanzani wajinga au washamba
Kipimo cha ushamba ni nini??
 
Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutosha
Nimekurushia majengo hadi ya Upanga ambayo yamejengwa na watu binafsi.
Usisingizie mbeleko kijana.
HApo nimerusha majengo ya serikali na watu binafsi.
Na kama kungekua na serikali za majimbo ndio msingetoboa kabisa maana huku Pwani kuna matajiri wengi sana ukiachana na bandari.
 
Back
Top Bottom