๐๐๐๐๐Aisee bro ni umedata ama??Pac
Hapa pakawaida sana, nakupa Bwiru press na malaika tu hapo unakimbia Dsm is overated
Yani hapo pawe pa kawaida!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Aisee bro ni umedata ama??Pac
Hapa pakawaida sana, nakupa Bwiru press na malaika tu hapo unakimbia Dsm is overated
Hawezi akakujibu kamwe.Kwanini mkuu
๐๐๐๐๐Hiki si kijiji kilichochangamka??View attachment 3103250Bwiru neighborhood
Wapi wewe unakaa kujifariji!??Wazaramo wa michongo tumewasambaratisha na scrapers zao, Mwanza sio pakuchukulia kama poa kama hujawahi fika nakushauri uende ukaone jiji swaaafii
Chang'ombe Temeke.
Yeah Dar is overrated๐๐๐Pac
Hapa pakawaida sana, nakupa Bwiru press na malaika tu hapo unakimbia Dsm is overated
Bei na hadhi ya Prado inafanana na Bajaj??Unaweza kulinganisha maana zote zinaingia petro station โฝ kuweka mafuta
Ndo maana sijataka jazba nmeuliza kwa upole sanaHawezi akakujibu kamwe.
We unaonaje,cha muhimu kufika unako elekeaBei na hadhi ya Prado inafanana na Bajaj??
Hakuna maajabu hapo๐๐๐๐๐Aisee bro ni umedata ama??
Yani hapo pawe pa kawaida!??
Unaleta Nyumba za mashirika, huko hakuna msuri wa mtu imagine mwanza haijawahi kujenhewa mradi wowote wa nyumba kama hizo na bado tunawakimbiza tuWapi wewe unakaa kujifariji!??
Yani Mwanza iishinde Dar es salaam!?๐๐๐๐๐๐
Ngojea nikuanzishie dozi maalum.View attachment 3103367View attachment 3103368
Neighborhood za Dsm, achana na Samia scheeme zenu๐๐๐๐๐Hiki si kijiji kilichochangamka??
Hapa naiona Mkundi Morogoro.
Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutoshaDar is really overrated ๐๐๐View attachment 3103372
Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutosha
Kipimo cha ushamba ni nini??Mnaotetea mwanzani wajinga au washamba
Nimekurushia majengo hadi ya Upanga ambayo yamejengwa na watu binafsi.Hii Rita tower bado ni majengo ya taasisi za kiserikali ndo mnavimba nayo imagine unapambana na mji unaojengwa na raia wenyewe plus mji wenu unaopewa busta lakini hatuoni maajabu Dar ukitoa brt flyovers na hivyo vijengo viwili vitatu vya msaada inabaki li Kijiji kikubwa tungekuwa na serikali ya majimbo msingefua dafu hata robo kwa jiji la miamba hili jiji lina muscles za kutosha