Hawa siku unamsimamisha unaongea nae unacheka jokes hapa na pale anaweza asilale usiku! Haamini kama uko kama binadamu wengiAisee hawa wakuogopa hawa siku akikaa usawa wa mlango wako tu msukumie ndani ataenda angukia kitandaniii na kufunika uso tu vyoote anakuachia
Hehe najikuta we ndo mume wangu najisahau hadi kutafuta mume[emoji13]Nikikupa sana attention unajisahau..
Manga nakupenda ujue.....Ngoja tu nichochee dukuku lako umalize kwa amani napendaga ufurahi tu
Ahasante nakupenda pia.Manga nakupenda ujue.....
Ila RRONDO hana shida naanza kumuelewa....
Hilo cheko veepeHa ha ha habari njema!
KabisaAhasante nakupenda pia.
Ha ha haa ulikua unamuogopa bure kumbee.
Ha ha haaaa kazi kwako sasaHa ha ha habari njema!
Ha ha haaa mpaka kieleweke leoHilo cheko veepe
Ntajiemo kimoja hebuUnanikumbusha vitu vingi sana
MangaHa ha haaa mpaka kieleweke leo
Pole alionyesha uwanaume wake na wewe ukaonyesha uwanamke wako ndo mana hajakurudia.Kabisa
Ila sababu alinifokea bhana, ila nilipomjibu 'Sawa' kama alivyonifunza mama akawa mpole. Sikuona teena akinirudia!!!
AiseeUnanikumbusha vitu vingi sana
AmenPole alionyesha uwanaume wake na wewe ukaonyesha uwanamke wako ndo mana hajakurudia.
Ivyo eeh? Basi sawaManga
Unajua dawa ya uchochezi lakinii.... Kisongo nafasi ziko za kulala
Unabahati mbaya tuChangamoto kubwa nilikutana nao wanaume wengi wamezidi 'umama' khaaa waongo,wavivu na magubu ndo msiseme.