MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Its not about kupasha kiporo,uuhusiano unatakiwa uwe wa watu wawili. Ukizaa na mtu nikakuoa tayari uhusiano unakuwa wa watu watatu kiungo mtoto.
Kataa kubali hii inaleta complications, hamna mtu yuko taysri kuona mpenzi wake anawasiliana na ex wake, bond yako na baba wa mtoto haiwezi kuvunjika kamwe.
Mbaya zaidi wengi wanatamani sana baba mtoto abadili mawazo waishi pamoja! Unless ulizaa kwa bahati mbaya kama kubakwa.
Si kweli kwamba hamna mtu yuko tayari. Tayari wapo.
 
To be honest sijui nani anaoa bila kuchagua. Na hii notion kuwa 'unachagua sana' sijui kipimo ni kipi? Mtu ambae nitaishi nae hadi kifo kitutenganishe lazima niridhike nae.
Kila mtu anachagua. Tatizo ni vigezo, vipaumbele na flexibility.
 
Kutokuridhika na kuwa na udhanifu kwa mwenzi wngu wa maisha. Naona kama nafikiria kupata mwanamke asiyekuwepo ktk hii dunia.
 
Back
Top Bottom