MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

 
Wifi yangu yupi sasa maana!!!

Mie nikufiche unisaidie nini!! Hebu kachakarike huko ulete pesa[emoji57] [emoji57]
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› wa over seeeee
 
Kwa mimi sina changamoto yoyote kwa sab kwangu mimi naona muda wangu haujafika ila ukifika najua ntakuwa nimeingia kwenye vita kubwa zaidi ya vita ya dunia
 
Hivi unajua mwanaume wa miaka 50 ana nguvu sana!!! Hilo lisikupe shida!!!
Mmmmmh!! Unamtakia mwenzio ujane wa mapema hivyo, though hatuijui siku wala saa(kidding)

Ila kusema kweli raha ni uwe na familia yako mapema na uifurahie ukiwa bado na nguvu zako ila ndio hivyo maisha msongamano.
 
tatizo wengine hatukuona sababu maana kale kamchezo ukikataka mda wowote unapata kwa yeyote so hatukuona sababu ya kufuga kuku wakati mayai yanapatikana popote
 
Mmmmmh!! Unamtakia mwenzio ujane wa mapema hivyo, though hatuijui siku wala saa(kidding)

Ila kusema kweli raha ni uwe na familia yako mapema na uifurahie ukiwa bado na nguvu zako ila ndio hivyo maisha msongamano.
Haha
Ujane tena jamani, mie nilitamani kweeli mtarajiwa anipite na miaka kumi na hukooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…