MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Tuwaulize tu hao single moms watoto waliwapata wapi? Wao ndo wasababishi halafu wanajifanya wanawatenga watoto /Dada /mama zetu
 
Komaaa tu MKUU utapata
 
Kwamba ndoto yaweza unganisha hawa watu kirahisi eeh! Ngoja na mimi nijifunze kulala mapema labda naweza kuota mtu hapa akaniondolea huu "u-senior bachelor"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi kumbe kulala mapema ndio kuota!! Leo nalala saa 1 kabisa ili niote vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…