MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Hii ni ishara ya woga. Woga wako ukapera wako. Ukikosea si basi unajipanga upya?

Changamoto zangu:

1. Wanaume 6 kati ya 10 wanaotaka kunioa ni marioo na mimi siko tayari kuoa. Wanne wanaobaki mara nyingi wanakuwa na viporo ambavyo hawajavishughulikia au wanataka mke kwa sababu ambazo kwangu ni nyepesi.
2. Nina ubinafsi. Kila nikiwaza kuanza maisha tofauti na niliyozoea huwa napata uzito sana.
3. woga - nina mtoto - nahofia ustawi wake.
Changamoto zako nzito kuliko mimi.
 
We changamoto yako umri tu!! Basi hiyo rahisi sana, seems unaatract wa umri wa chini zaidi.

Basi ushapata suluhisho nini cha kufanya.
wananiattract as well...si unajua vile wako perfect(figure)...🙂🙂🙂...umri una mambo mengi.
 
wananiattract as well...si unajua vile wako perfect(figure)...🙂🙂🙂...umri una mambo mengi.
So you want to have yo cake and eat it!!!
Basi kumbe wewe hauna changamoto kabisa. Ungekuwa muoaji ungeshaoa, maybe it was not meant to be si unajua tena!!!
 
Muombe Mwenyezi Mungu usifanye kosa eneo hilo.Ukikosea njia utaelekezwa lakini ukikosea kuchagua mke ni majuto.
 
We changamoto yako umri tu!! Basi hiyo rahisi sana, seems unaatract wa umri wa chini zaidi.

Basi ushapata suluhisho nini cha kufanya.
So you want to have yo cake and eat it!!!
Basi kumbe wewe hauna changamoto kabisa. Ungekuwa muoaji ungeshaoa, maybe it was not meant to be si unajua tena!!!
Kazi ipo. Nimekuwekea changamoto zangu tatu, wewe kwa mapenzi yako umeamua iwe moja umri. Nimekuonesha umri unakuwaje changamoto bado unasema sitaki kuoa, umebakisha kunitabiria lini nitakufa tu coz ni mtabiri mzuri.
 
Back
Top Bottom