Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana khofu ondoa ni kweli wapo wengi sanaNdiyo nimeshasema sitaki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto.... Kwani wanaume ambao hawana watoto wameisha??? Mbn wapo wengi Sana'a
Siku zote furaha haipatikani kwa mtu mwingine bali inatokana na wewe mwenyewe....
Najua mungu Yuko upande wangu ninawangu mwenyewe niliye pangiwa na munguu... Hata km chongoo ilimradi asiwe na mtoto...[emoji124]
I see!!!Mission accomplished?!
"Jamani kwanini haujaolewa!! Unachagua sana jamani!!"
Utadhani wao walijibebea tu. Alafu akijisahau anaanza kukuelezea majanga yake na kukutamania wewe ambae haujaolewa basi tafrani tu!!
Haya mambo bwana!!!
Its not about kupasha kiporo,uuhusiano unatakiwa uwe wa watu wawili. Ukizaa na mtu nikakuoa tayari uhusiano unakuwa wa watu watatu kiungo mtoto.Hivi vitu huwa mnavikuza sana. Mara nyingi havipo kama vinavyoonekana usoni. Nina miaka 9 toka niachane na mzazi mwenzangu lakini hii habari ya kupasha kiporo haijawahi kutokea na huwa tunaonana na kuwasiliana mara kadhaa na tuko mji mmoja. Kama hofu yako ni usaliti hata ukiolewa na mtoto au mjukuu wa askofu usaliti unaweza kutokea. Mtu anaweza kupasha kiporo wa wapenzi wake aliokuwa nao kabla yako au akaanzisha mapishi mapya na mtu mwingine wakati yuko na wewe. Wanawake wengine wanahofia kuwa na wanaume wenye watoto kwa sababu hawana hela za kuwapa kwa sababu wana majukumu ya kutunza watoto. Hii kwako veepe?
To be honest sijui nani anaoa bila kuchagua. Na hii notion kuwa 'unachagua sana' sijui kipimo ni kipi? Mtu ambae nitaishi nae hadi kifo kitutenganishe lazima niridhike nae.Yaani unakuta hawataki hata kukusikiliza maana tayari wana majibu yao ya kwa nini hujaolewa. Wengine wanakusimanga kuwa unaringa kwa sababu ya hicho kijumba na kigari!! Wengine wanakutafutia mtu bila kukupa taarifa au bila wewe kuwaomba. Unashangaa tu mbona aunt Fulani au shosti siku hizi anakutembelea au kukupigia simu sana na kuongelea mambo ya ndoa? Kumbe anacheki progress!! Wengine hasa wamama wakubwa wanakukazania uolewe unafikiri ni upendo kumbe wana wasiwasi utawachukulia waume zao! 😛 Usipokuwa na helmet kwenye moyo unaweza kuingia kwenye hayo maisha ili watu wafurahi.
Mbona haikuwa ka swali!!!!I'm asking..
Changamoto kubwa nilikutana nao wanaume wengi wamezidi 'umama' khaaa waongo,wavivu na magubu ndo msiseme.
sasa bila kuwa nao wengi napataje exprience khaaa..mylife..mychoices!Tatizo ni kuwa wanaume wengi [emoji23][emoji23][emoji23]
Dd i say anything abt ur life?sasa bila kuwa nao wengi napataje exprience khaaa..mylife..mychoices!
I think so...anyway nimejibu kutokana na ulichokiandikaDd i say anything abt ur life?
NvrmindI think so...anyway nimejibu kutokana na ulichokiandika
''Tatizo ni kuwa wanaume wengi![]()
'' unless sijakuelewa![]()
Sure!! no kwere mzee mwenzangu....Nvrmind
Hapana. Mahusiano ni jambo linaloendelea haliishi, kwahio mnaweza kujadili kwa muda wowote ule. Vingi vinajadiliwa humu sio mahusiano tu, chit chat za hapa na pale as well.Mhhhh huu uzi mpaka leo unaendelea??? Kweli mahusiano ni janga la Taifa
Hahahah! Mapenzi 'yanarani dunia'.............Mhhhh huu uzi mpaka leo unaendelea??? Kweli mahusiano ni janga la Taifa