Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Trust the Lord,

Kila unachotamani kitatimia.
Na utafurahia sana wala hutajuta kuchelewa.

Mungu wa Mbinguni aonae haja za Mioyo yetu na akufanikishe kila hatua.

Utabarikiwa uingiapo na Utokapo.

Amen!!
 
Kabisa nkakisali2
 
Kupanda ndege aisee, nilikuwa naziangalia anganitu.

Safari ya kwanza naingia kwenye pipa kutoka kwa mamaenu mpaka Nairobi then Dubai then na connect Papua new guinea Daah.

Kuanzia sikuyakwanza natoka terminal 1 nilikuwa na sali kabla hatuja takeoff na landing lakini sasaivi duuh[emoji23][emoji23][emoji23] niki Bod in tu nachapa usingizi daaah.[emoji205]

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Naomba Mungu anisaidie maana natamani sana niwe na

1. homestead yangu yenye ekari 500 humo niwe nina ng'ombe wengi, mbuzi wengi, kuki wa kienyeji, kondoo, na familia yangu iishi humo humo.

2. Nipande ndege niende nje ya mipaka ya nchi hii.

3. Nipate kazi nzuri zaidi ya hii niliyonayo sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…