Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Kiongozi umenena vyema.

Mimi nashauri umuone Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Usiende kwa madokta wa kawaida. Ulizia Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Kwa muhimbili wanapatikana muda wowote, ila kwa hospitali binafsi wanapatikana jioni.

Ushauri. Kuna ugonjwa unaitwa scabies, na madokta wengi huwa wanakosea diagnosis yake kwa sababu ya kutokuwa na dalili hizo hizo kila wakati.

Mimi japo sio Dr. Lakini ningesema kwenye kichwa chako cha uume ni scabies, lakini scabies huwa haina blisters mwili mzima. Sehemu ambazo parasites waliingilia ndiyo huwa panawasha, na usiku muwasho unakuwa mkali sana, na hizo sehemu zenye muwasho huwa zina viuvimbe kwa sababu ya burrows za wale parasites.

Fanya hima ufanyiwe test. Lakini pia check tena VDRL kuncofirm kama kweli una Sypillis. Katika moja ya hospitali nzuri kwenye vipimo na maabara ni Regency. Kama walifanya kipimo cha Sypillis na hawakuona, basi nasita kusema ni Sypillis. Labda kama hukupimwa huo ugonjwa.
Kwa upande wa scabies mgonjwa huwa ana ngozi ya bibi kizee na mikunjo mikunjo hasa na mara nyingi scabies inakuwa generalized locallized inakuwa kwa asilimia ndogo mkuu.
 
Ngoja wahuni wa humu wapite kwenye huu uzi, utachukua mwelekeo tofauti kabisa.
Kuna mmoja naona ameusifia kabisa tayari, badala amuonee huruma member huyu anaumwa na kauweka kabisa uchi wake hapa...teh[emoji28]
 
Mkuu waweza kwenda KCMC departiment ya dermatology, wako vizuri sana kwa magonjwa ya ngozi.
 
Pole sana mkuu. Mungu atakusaidia zingatia ushauri uliyopewa hapo juu
 
Habari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kua mficha uchi azai.

Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpk za kopo ila bado tatizo linanisumbua.

Ninawashwa sana mwilini na vijipele vimetokea mkononi na sehemu za siri nimepima hospital kama BURHAN, Legency wanasema siumwi kitu ila hali yangu mimi naona inazidi kua mbaya.

MaJuzi nimepima hospital ya mtaani wakasema na syphilz nimeanza matibabu ya sindano zile nne za mwezi mpk sasa nishachoma sindano 2 ila bado hali iko vile vile tena ndo inazidi kabisa
Mwenye msaada naomba anisaidie nawashwa sana mwiliView attachment 1183912View attachment 1183913View attachment 1183915
Ina muda gan hii hali?
 
Back
Top Bottom