Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unadhani akifuta madaktari wataonaje ili watoe ushauri?Mkuu mm nimdau wa kuhitaji picha lakin sio Uzi kama huu, kama hautojari ebu zifute
Then tuangalie tunasaidiana vipi
Aisee japo siumwi ila text yako imenipa faraja sana.Utapona mdogo angu hvyo ni vyakawaida tu hila zingatia ushauri wa hapo juu usifanye sex bila kinga
[emoji85][emoji85][emoji85] ndio wapi huko mchumbaHahah hapana mchumba huku tunaibia ibia mara moja...
Karibu tupambe mbuzi choma hapa tips mchumba...
Ndio Mkuu, Tahadhari tu angalia usishiriki tendo la ndoa bila kutumia kinga maana uko katika risk kubwa ya kupata magonjwa hatari hasa HIV....
[emoji23][emoji23][emoji23] hata ukiambiwa kula kinyesi utakulaukiumwa bwana hata uambiwe onyesha picha ya MKU...unaonyesha bila hata kificho....Ukiumwa bwana ADABU inarudi
Kwa mwenyekiti wa mikuu yote wa mikoa mchumba...[emoji85][emoji85][emoji85] ndio wapi huko mchumba
Ahaa sawa mchumbaKwa mwenyekiti wa mikuu yote wa mikoa mchumba...
Jaribu kuangalia ni vyakula gan au kitu chochote ambacho ulianza kutumia baada ya mwez wanne au kwanzia mwez wanne mpk now
Mkuu kamuwekea nani kichwaAMekuwekea na kichwa kabisa
Karibu mchumbaAhaa sawa mchumba
Apake kwani ni pilau hiyo?Pole sana mzee ushawai kupaka vitunguu saumu?? Pia una umri gani???
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kila siku mnadai picha. Leo na picha juu.Aisee mkuu naona umetuwekea na kapicha kabisa.
Maan yawezekana umepatwa na allergic diseasesSawa ngoja nianzetafakari kwa kina juu ya hili pia
Mwanamke ni ngumu sana kuona kwa sababu dalili za mwanamke zinaonekana baada ya muda mrefu sana. So it's better ukaenda naye tuTatizo girl friend wangu hana hii kitu na tumeishapima nae sana hana kabisa apo ndo nashindwa elewa tatizo ni nini
Nimepatwa na mshtuko wa ghafla......[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani mkuu hizo genital herpes zinaweza kutokeza kwa ngozi ngumu kama mkononi n.k?nijuavyo mimi huwa zinatokeza sehemu laini kama kwenye genitals,mdomoni n.k.possibility kubwa itakuwa ni syphilis kama daktari wake alivyomwambia...Pole Mkuu kwa tatizo linalokusumbua kwa haraka haraka bila kupepesa utakuwa una ugonjwa unaoitwa Genital Herpes infection ambao husababishwa na Herpes simplex virus type 1 & 2 ila kwa upande wako naona ni type 2 ndio inakusumbua, maana nimejaribu kuangalia na hizo blister hapo katika mwili wako zimekaa kama za herpes plus ukijaribu kuvitumbua najua utakuwa unapata maumivu ya ajabu..
Vp mkuuMkuu, mkuu, mkuu......
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Hatujawahi kuridhika binadamuWatahitaji video
Kwani mkuu hizo genital herpes zinaweza kutokeza kwa ngozi ngumu kama mkononi n.k?nijuavyo mimi huwa zinatokeza sehemu laini kama kwenye genitals,mdomoni n.k.possibility kubwa itakuwa ni syphilis kama daktari wake alivyomwambia...