Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Jichungeni sana na zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu, kijana ameamua kutimiza usemi wa wahenga kwamba mficha mkuyenge.....Nimepatwa na mshtuko wa ghafla
Nilikuwa nakusalimia tu mkuu, maana sio kwa mshtuko huo...teh[emoji28]]emoji28]Vp mkuu
Hapana mkuu, mchokozi ni yule mdada alieanza kuusifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji28]kuonyesha pointer yake auu ??? hahaha wee mzee mchokonozi
Ni ugonjwa wa zinaa? 😳Nenda muhimbili,new opd building... Umuone consultant physician yeyote utakayemkuta....Fanya upesi maana STI sio mchezo....n vema uende na uliyetombana naye ili mtibiwe wote
Hahaha ...hana kizaziPole sana mkuu, kijana ameamua kutimiza usemi wa wahenga kwamba mficha mkuyenge.....
Wewe hapo umsaidieMkuu kamuwekea nani kichwa
Naona we unataka kumchanganya mgonjwa acha iyo tabia.amesema kapima tatizo halijulikani wewe kwavipimo vyako vya macho umeshatoa majibu tayari
Hapana mkuu huku tunaigizia kidogo tu. Anyway karibu huko PMUnaonekana ni daktari mzuri sana mimi nitakuja pm
Hapana mkuu huku tunaigizia kidogo tu. Anyway karibu huko PM
Hapo unaweza sasa.Pm umepafunga nifungulie
Hapo unaweza sasa.
Nimekufollow tayari na imani haitogoma tena.Inakataaa 🤦♀️
Nimekufollow tayari na imani haitogoma tena.