Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

 
 
pole sana iyo issue yako ni viral kuna drugs ukitumia zitaleta matokeo mazuri plz nicheki 0624986177 nikusaidie.....
 
Tafuta tangawizi mbichi saga au ponda pamoja na limao nalo ulisage changanya na maji kidogo kama unayo asali waweza kuweka kijiko kimoja japo sio lazima kivile

Kunywa glass moja au kile kikombe cha robo lita tele kwa siku kama ni glass hakikisha unakunywa glass 2 siku tatu tu tatzo kwisha


Kama hujaelewa njoo pm....nikushauru buree
 
Daaah huo muwasho sio mchezo nakumbuka usiku nilikua nalala kwa mateso sana
 
Nina amini hata Mungu atazidi kukubariki mkuu maana hujamkejeli hata nukta moja,umetumia uwezo wako kumshauri ! Aisee sema tu humu ndani hatujuani ningekupa tuzo kabisa,upo vizuri sana kwakweli mkuu Mungu akushike mkono kwa lolote utakalomwomba
 
Hapana mkuu, huyu kijana ameuweka kabisa yaani....
Hapa kauanika kabisa mkuyenge mujarab kabisa...teh
si unajua hata tezi dume inapimwa kwa middle finger ? ukiwa mgonjwa lolote laweza kukutokea na ukaona poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…