Pemba Nkuzuri
Member
- Jul 18, 2019
- 38
- 36
Pole mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh asante sana NduguAisee japo siumwi ila text yako imenipa faraja sana.
Wakipatikana watu wa kutia moyo kama wewe tutakua tunapona bila dawa
Habari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kua mficha uchi azai.
Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpk za kopo ila bado tatizo linanisumbua.
Ninawashwa sana mwilini na vijipele vimetokea mkononi na sehemu za siri nimepima hospital kama BURHAN, Legency wanasema siumwi kitu ila hali yangu mimi naona inazidi kua mbaya.
MaJuzi nimepima hospital ya mtaani wakasema na syphilz nimeanza matibabu ya sindano zile nne za mwezi mpk sasa nishachoma sindano 2 ila bado hali iko vile vile tena ndo inazidi kabisa
Mwenye msaada naomba anisaidie nawashwa sana mwiliView attachment 1183912View attachment 1183913View attachment 1183915
Habari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kua mficha uchi azai.
Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpk za kopo ila bado tatizo linanisumbua.
Ninawashwa sana mwilini na vijipele vimetokea mkononi na sehemu za siri nimepima hospital kama BURHAN, Legency wanasema siumwi kitu ila hali yangu mimi naona inazidi kua mbaya.
MaJuzi nimepima hospital ya mtaani wakasema na syphilz nimeanza matibabu ya sindano zile nne za mwezi mpk sasa nishachoma sindano 2 ila bado hali iko vile vile tena ndo inazidi kabisa
Mwenye msaada naomba anisaidie nawashwa sana mwiliView attachment 1183912View attachment 1183913View attachment 1183915
Kwa kumwangalia tayari umeshajua kaukwaa bila hata ya vipimo?Asee tayari we anza tuu dose
Haya maneno sijui siku ukiwa katika hali kama hii yakikurudia utajiskiaje ?Kwa kumwangalia tayari umeshajua kaukwaa bila hata ya vipimo?
anafurahia kuona utamu bureee kwenye simu yakeHapana mkuu, mchokozi ni yule mdada alieanza kuusifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji28]
Tafuta tangawizi mbichi saga au ponda pamoja na limao nalo ulisage changanya na maji kidogo kama unayo asali waweza kuweka kijiko kimoja japo sio lazima kivileHabari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kua mficha uchi azai.
Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpk za kopo ila bado tatizo linanisumbua.
Ninawashwa sana mwilini na vijipele vimetokea mkononi na sehemu za siri nimepima hospital kama BURHAN, Legency wanasema siumwi kitu ila hali yangu mimi naona inazidi kua mbaya.
MaJuzi nimepima hospital ya mtaani wakasema na syphilz nimeanza matibabu ya sindano zile nne za mwezi mpk sasa nishachoma sindano 2 ila bado hali iko vile vile tena ndo inazidi kabisa
Mwenye msaada naomba anisaidie nawashwa sana mwiliView attachment 1183912View attachment 1183913View attachment 1183915
Pole Mkuu kwa tatizo linalokusumbua kwa haraka haraka bila kupepesa utakuwa una ugonjwa unaoitwa Genital Herpes infection ambao husababishwa na Herpes simplex virus type 1 & 2 ila kwa upande wako naona ni type 2 ndio inakusumbua, maana nimejaribu kuangalia na hizo blister hapo katika mwili wako zimekaa kama za herpes plus ukijaribu kuvitumbua najua utakuwa unapata maumivu ya ajabu....
Hivyo basi ningependa uende maeneo ya pale sanitas mikocheni wachukue damu ili waweze kufanya analysis ya damu kwa Polymerase chain reaction (PCR) au hata Serological test ili ku confirm ugonjwa husika..
Kuhusu tiba incase ikagundulika una herpes infection wanatibu dalili husika, ila kwa hapo baadae utapata long life immunity amabyo itakuwezesha kutokupata huo ugonjwa tena.
NB: Ugonjwa huu madaktari wengi huhisi ni ugonjwa wa fangus, bacterial au ugonjwa wowote wa njia ya mkojo ambapo huwa ni uwongo...
Hivyo wahi kwenye hiyo hospitali kama wewe ni mkaaji wa dar es salaam uweze pata tiba kila la kheri boss.
Huyu ndiye member jasiri wa 2019, napendekeza uongozi umtazame kwa jicho la ziada ili apewe tuzo Mara tu tutakapo fika mwishoni mwa 2019anafurahia kuona utamu bureee kwenye simu yake
Ongeza volume kidogo mkuuWewe unadhani akifuta madaktari wataonaje ili watoe ushauri?
Mtoa mada safi sana, usifute.
[emoji23] [emoji23] kinyesi hapana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] hata ukiambiwa kula kinyesi utakula
Aisee hujaumwa wewe[emoji23] [emoji23] kinyesi hapana mkuu
Huyu ndiye member jasiri wa 2019, napendekeza uongozi umtazame kwa jicho la ziada ili apewe tuzo Mara tu tutakapo fika mwishoni mwa 2019
Hapana mkuu, huyu kijana ameuweka kabisa yaani....ushimen uchokozi umefika sehem za siri sasa
si unajua hata tezi dume inapimwa kwa middle finger ? ukiwa mgonjwa lolote laweza kukutokea na ukaona poa tu.Hapana mkuu, huyu kijana ameuweka kabisa yaani....
Hapa kauanika kabisa mkuyenge mujarab kabisa...teh