Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,150
Nakusisitiza tena, tumia PREDILONE ni buku tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani girl friend wako ana kichwa cha mboo!!Tatizo girl friend wangu hana hii kitu na tumeishapima nae sana hana kabisa apo ndo nashindwa elewa tatizo ni nini
Hii hospitar nzuri ya maabara ipo wapi kwa dar hata kuna shida inanisumbua ebu nisaidie 0756805540Kiongozi umenena vyema.
Mimi nashauri umuone Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Usiende kwa madokta wa kawaida. Ulizia Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Kwa muhimbili wanapatikana muda wowote, ila kwa hospitali binafsi wanapatikana jioni.
Ushauri. Kuna ugonjwa unaitwa scabies, na madokta wengi huwa wanakosea diagnosis yake kwa sababu ya kutokuwa na dalili hizo hizo kila wakati.
Mimi japo sio Dr. Lakini ningesema kwenye kichwa chako cha uume ni scabies, lakini scabies huwa haina blisters mwili mzima. Sehemu ambazo parasites waliingilia ndiyo huwa panawasha, na usiku muwasho unakuwa mkali sana, na hizo sehemu zenye muwasho huwa zina viuvimbe kwa sababu ya burrows za wale parasites.
Fanya hima ufanyiwe test. Lakini pia check tena VDRL kuncofirm kama kweli una Sypillis. Katika moja ya hospitali nzuri kwenye vipimo na maabara ni Regency. Kama walifanya kipimo cha Sypillis na hawakuona, basi nasita kusema ni Sypillis. Labda kama hukupimwa huo ugonjwa.
[emoji28][emoji28][emoji28]NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA
IVI IYO PICHA YA MB....HAIWEZI KUFUTWA MAANA KILA NKIINGIA JF. NDO YA KWANZA JUU ADI NAKOSA AMAN YA KUFUNGUA JF NIKIWA KWA WATU...PLUS NA I FEATURE MPYA YA JF. APP YA KUONYESHA PICHA KWA JUU DAH
Nenda kwenye settings>photo preview>toa ile tiki.NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA
IVI IYO PICHA YA MB....HAIWEZI KUFUTWA MAANA KILA NKIINGIA JF. NDO YA KWANZA JUU ADI NAKOSA AMAN YA KUFUNGUA JF NIKIWA KWA WATU...PLUS NA I FEATURE MPYA YA JF. APP YA KUONYESHA PICHA KWA JUU DAH
Hahaaaa mkuu kwani kaonyesha uchi au kichwa cha boo?Nikweli kabisa mkuu, maana wahenga walivyo sema mfucha uchi hazai....
Lakini hawaku maanisha uanike uchi wako humu Jf.
Misina la kukushauri, ila Pole sana mkuu
Nenda kwenye settings>photo preview>toa ile tiki.
Hautaona picha tena.
Huwa unafanyaje mkuu,mfano ndio upo kwenye daladala umepata kiti na watu kibao wamesimama wamejiinamia kwa uchovu,tupe uzoefu hapo...NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA
IVI IYO PICHA YA MB....HAIWEZI KUFUTWA MAANA KILA NKIINGIA JF. NDO YA KWANZA JUU ADI NAKOSA AMAN YA KUFUNGUA JF NIKIWA KWA WATU...PLUS NA I FEATURE MPYA YA JF. APP YA KUONYESHA PICHA KWA JUU DAH
Ipo nyuma ya chuo cha CBE pale mjini. Au nyuma ya DIT.Hii hospitar nzuri ya maabara ipo wapi kwa dar hata kuna shida inanisumbua ebu nisaidie 0756805540
Rudia tena kusoma, ni swari namuuliza aliyeropokaHaya maneno sijui siku ukiwa katika hali kama hii yakikurudia utajiskiaje ?
Mkuu hyo limao unalisagaje maana huwa ni tunda lenye majimajiTafuta tangawizi mbichi saga au ponda pamoja na limao nalo ulisage changanya na maji kidogo kama unayo asali waweza kuweka kijiko kimoja japo sio lazima kivile
Kunywa glass moja au kile kikombe cha robo lita tele kwa siku kama ni glass hakikisha unakunywa glass 2 siku tatu tu tatzo kwisha
Kama hujaelewa njoo pm....nikushauru buree