Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
inategemea na ngozi yake hapa sasa, na kwakua ameshapata vipele tayari heri aviache vikipotea na kukauka aende kwa daktari ashauliwe aina nzuri ya cream kulingana na ngozi yake.Nyoa kwa kutumia shaving creams
niliwaza hivyo pia, aziache zikue halafu azikate kwa juu bila kugusa ngozi...kwa mkasi au mashine za kunyolea zenye jembe size tofauti.Aache Zikue Nyingi Ndiyo Anyoe