Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Nahisi hizo ni Razor Bump. Ngozi yako ipo sensitive utumiapo vinyoleo. Nakushauri jaribu kutumia pre-shave oil kabla ya kushave na after shave baada ya kushave.

Sijui nimetoa ushauri mzuri.[emoji848]
Ushauri mzuri
Afanyie kazi uliyomshauri ataona changes

Au wakati unashave usitumie wembe maana huwa unakwangua sana tumia shaving machine na hayo mafuta.

Kama tatizo halitoisha basi Utakuwa na tatizo linalohitaji msaada wa kitaalam zaidi
 
Jaribu kutumia pre shaving oil,pia jaribu Kama unauwezo tafuta hair cut machine ukawa unaitumia pia inaweza ikakusaidia visitoke hivyo vipele.

Naiman huwa vinatoka baada ya kunyoa/kushave nywele sehem hiyo. Naimani nimetoa ushauri kulingana namim Hali hii ishaganikuta
 
Habari zenu wakuu,

Niwape pole na majukumu mazito ya kujenga taifa letu.

Nimekua nikisumbuliwa na vipele sugu chini ya uume hadi kwenye korodani, hebu nipeni mwanga ni tatizo gani hasa.

Shukrani...
 
Nenda kwa daktari umuonyeshe, wakati huo huo vaa boxers za cotton na uhakikishe unavaa safi kila siku. Ukioga jikaushe vizuri na taulo. Usishirikiane taulo na mtu mwingine.
 
Sababu zipo nyingi za kupata vipele chini ya uume na yote ni kuto kuwa Makini

1»Kujisaidia haja kubwa na maji ya chooni kuruka na kukugusa.Hii utokea pale mtu anapo jisaidia na kinyesi kudunda kwenye maji kwa wale wanao tumia vyoo vya kuflash na kusababisha vipele.

2»Kuto kusafisha nguo za ndani.Watu wengi ambao wanakuwa wakipatwa na matatizo Kama haya asilimia kubwa wanakuwa ni wachafu hii inamaana hawafui nguo za ndani hii inaweza kuwa (Boxer,chupi.nk)

~Usafi ni wa muhimu Sana ili kuweka afya zetu Salama.

NOTE:Wanawake kupatwa na matatizo Kama haya ni hatari zaidi kwani Kama tunavyo fahamu maumbile yao yapo wazi(UKE) kwahiyo itakuwa hatari zaidi Kama akipatwa na maji maji ya chooni pia wanawake wanatakiwa kuvaa nguo ya ndani kwa muda ulio elekezwa kiafya zaidi.
ASANTE

@Walterthegreat
 
Habari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kuwa mficha uchi azai.

Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpaka za kopo ila bado tatizo linanisumbua....
denis fourplux naomba namba yako ya simu
 
Oi mwana uliponaga hili tatizo maana na mimi limenipata mwili unawasha sana ebu nipe hints ulitumia nini ukapona boss
 
Hiyo ni VIRUS sio fungus...!!! Yani hapo ungemaliza hata Kontena zima la Dawa na fungus na antibiotics.

Inaitwa HERPES SIMPLEX...ni ugongwa unaotokana na virus ambao mara nyinyi hukaa ukeni lakini pia huwapata watu wenye Upungufu wa kinga mwilini zaidi kama dalili ya ugonjwa kama HIV japo yenyewe huitwa Herpes Zoster.

TIBA. TUMIA ACYCLOCIR CREAM NA ACYCLOVIR VIDONGE kwa muda wa Siku KUMI.. utaona matokea pole sana
 
Nenda kwa daktari umuonyeshe, wakati huo huo vaa boxers za cotton na uhakikishe unavaa safi kila siku. Ukioga jikaushe vizuri na taulo. Usishirikiane taulo na mtu mwingine.
Mhhhh..tunaovaa za kawaida ndo maupele yatatujia?
 
Kiongozi umenena vyema.

Mimi nashauri umuone Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Usiende kwa madokta wa kawaida. Ulizia Dr. Bingwa wa magonjwa ya ngozi. Kwa muhimbili wanapatikana muda wowote, ila kwa hospitali binafsi wanapatikana jioni..
Vipi wadau nawezaje pata tiba ya hii kitu maana inanisumbua sana yaani nishazunguka hospital na kutumia dawa bila mafanikio..naomba mnisadie tiba ambaye itanisaidia nipone ambaye an experience na hili tatiz pls😭😭😭😭😭
 
Pole boss, kwa muonekano wa hivo vijipele naona ni kama vile vya Herpes simplex virus Genital sores na mara nyingi huambatana na vipele vya mdomoni na kama vimetokea sehemu ya ubavu yaweza kuwa relapse ya previous HSV infection...
herpes au syphillis ikiwa ktk secondary stage
 
Back
Top Bottom