Mbanti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 944
- 1,730
Daaah..pole sana kamanda.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah..pole sana kamanda.....
Pole sana, hivyo vipele ndo vimetokea mara ya kwanza ama vinajirudia rudia kwa kuja na kupona?Mwanzoni ilikuwa kama picha ya hapa chini maana bro wangu doctor so alinishauri inaweza kuwa siphills hvyo nianza tumia sindano ilionekana inapona japo nilikuwa napitia wakati mgumu nawashwa kwenye kichwa cha ume na mapajani hasa nyakati za usiku mpaka nakosa usingizi
Kinachonitia hofu nikwamba Dozi nimemaliza na nimekaa wiki mbili sasa ila naona dalili kama hali inarudi tena.View attachment 1704815
Nenda hospital kwanza wajue ni ugonjwa upiNimetoka vipele vidogo katika kichwa cha uume haviumi ila vinawasha tu naweza pata dawa gani ?
Tungeona picha ingependeza....hapa wajuba wakiona picha tu wanakuwa washajua chanzo unapokea maelezoNimetoka vipele vidogo katika kichwa cha uume haviumi ila vinawasha tu naweza pata dawa gani?
Ndo ipi hiiNimepaka dawa ya mkasi naona nafuu kidogo
MswakiNdo ipi hii
Dawa ya meno? Ndo umepakaa?Mswaki
denis fourplux umeshana ????
Wewe hapo.Mkuu kamuwekea nani kichwa
NdioDawa ya meno? Ndo umepakaa?
Kumbe inaponesha hiyo?ulkuwa unapaka asbh na jioni auNdio
Ndio mkuuuKumbe inaponesha hiyo?ulkuwa unaoaka asbh na jioni au
Dawa ya meno si kwahivyo mkuu huwa naitumia piaNdio
Kuna sehemu nimekuelekeza uendeNimepaka dawa ya mkasi naona nafuu kidogo