Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Nashukuru sana Watu kama nyie ndo mnatakiwa bitalifanyia hili nasubiria mwenje kujua mwenye tatizo hili kwa kina au hospital maana nimezunguka sana..unajua siku hizi hata hospital hawatibu bt wako kimaslah
Upo Dar??yaan hosptali ulizo zunguka ni za Dar??
Mm mashauri ukienda hosptal tafuta wataalam wa masuala ya uzazi na ngozi

Usikutane na wale madaktari wa jumla jumla....
Na nitajitahidi kuulizia pia kuhusu hili
 
habarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..

Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha

..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.

View attachment 1651384
Hivi kumbe HPV ni hatari kwa wanaume pia!!

Ukiwa na tatizo la kiafya jaribu kutembelea hospitali tofautitofauti maana hata hao madaktari wanaachana utaalam.
 
Upo Dar??yaan hosptali ulizo zunguka ni za Dar??
Mm mashauri ukienda hosptal tafuta wataalam wa masuala ya uzazi na ngozi

Usikutane na wale madaktari wa jumla jumla....
Na nitajitahidi kuulizia pia kuhusu hili
niko arusha ndugu
 
habarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..

Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha

..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.

View attachment 1651384

Kama upo dar es salaam jaribu kuonana na daktar wa ngozi pale Burhan hospital mkabala na duka la laptop city Posta
 
habarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..

Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha

..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.

View attachment 1651384
Sidhan kama hospital walikosea kukwambia kua ni HPV infection

Hiyo ni Genital warts inayosababishwa na virus aina ya HPV

Lakini hujasema ni dawa gan walizokupa hospital na ukatumia bila kupata nafuu yoyote

Huwa kuna dawa ya kuvichoma na kemikali inaitwa SILVER NITRATE PENCIL au ya kupaka inaitwa PODOPHYLLIN(podofilox) gel

NB: Ni vizuri pia ukamuona daktari wa magonjwa ya ngozi (dermatologist)
Pia ni vizuri ukapima HIV
 
Sidhan kama hospital walikosea kukwambia kua ni HPV infection

Hiyo ni Genital warts inayosababishwa na virus aina ya HPV

Lakini hujasema ni dawa gan walizokupa hospital na ukatumia bila kupata nafuu yoyote

Huwa kuna dawa ya kuvichoma na kemikali inaitwa SILVER NITRATE PENCIL au ya kupaka inaitwa PODOPHYLLIN(podofilox) gel

NB: Ni vizuri pia ukamuona daktari wa magonjwa ya ngozi (dermatologist)
Pia ni vizuri ukapima HIV
Ahsante sana na walinipa dawa inaitwa acylovir cream ya kupaka pamoja na vidonge vyake
 
Ahsante sana na walinipa dawa inaitwa acylovir cream ya kupaka pamoja na vidonge vyake
Daah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu warts

Jaribu kutumia hizo nilizokwambia, ni among the recommended drugs kwenye kutibu genital warts
 
Hiyo kitaalamu inaitwa kendembilical duduscum. Jaribu kuwa msafi acha kuvaa boksa wiki 6.

Pia jifunze kutawaza vizuri
 
Daah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu warts

Jaribu kutumia hizo nilizokwambia, ni among the recommended drugs kwenye kutibu genital warts
Sawa Mkuu nitajribu hivyo kaka
 
Daah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu warts

Jaribu kutumia hizo nilizokwambia, ni among the recommended drugs kwenye kutibu genital warts
ahsante sana mkuu
 
Aliyekuwa amepatwa na ugonjwa huu alipona na dawa gani maana mwenyewe sahivi inamsumbua sana
Dalili ni zipi? Zilezile au we kuna tofauti? Je mwili unawasha kujikuna sana hasa usiiku???
Dawa zipo nyingi.
 
Pedi salama Ni zipi hasa?? Japokuwa tunashukuru siku hizi wanaandika expiry date ... Tofauti na zamani kidogo.
 
Back
Top Bottom