Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Wewe wajiua vema hiyo aya hebu tupe tafsiri yake
 
Kwa hiyo nyie mkipewa hela na silaha kazi yenu inakuwa ni kuuana tu?!

 
wewe na ndugu yako mkienda kumzika mzee wenu makaburi ya kigamboni mkimaliza kuzika si kila moja anaenda na shughuli zake. sasa kwa taarifa yako baada ya kuzika isaka alienda kuondolea watu wenye mapepo ndio ilikuwa kazi yake na kuanzisha ndoa ya jinsia moja na kuchukua wake za watu ndio maana mpaka leo ukienda jumapili kusali unaopoa demu bila tabu yoyote. ishmael yeye alienda kufanya kazi za baba yake ibrahimu alioamrishwa na mungu
 
Yaani Mungu na mtume unawaweka darja moja ?

Ukisema Mungu na mtume wanajua zaidi inaonekana uelewa wao hautofautiani , ingali mmoja ni mwanadamu na mwingine sio mwanadamu.
 
Vipi na ambao wamechomwa moto na kugeuka majivu.

watakuwaje uchi ?
 
vipi kwa mtu aliyekufa na kuliwa na simba .

atafufuliwaje akiwa uchi.?
 
Kuna watu mnaamini hili [emoji23]

huko mbinguni kwenu watu watakuwa wananjunjana doggy style badala ya kumsifu na kumuabudu Mungu

Nimeamini akili ni nywele na kila mtu ana zake.
 
kumbe ndio maana ISIS wanajitoa mhanga wakapige doggy style huko mbinguni kwenu.


Vipi, kutakuwa na alqasusu ?
 
Ujinga ni kipaji

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma mtapewa adi ndizi nimecheka , Muhammad alikuwa anaishi jangwani akaona akiwa promise ndizi ni kitu kikubwa mno,
Koran 56:29 And [banana] trees layered [with fruit]
Na kunjunjana [emoji23]
 
Badala ujibu hoja unanishambulia kwa hasira

Mimi nitakutumia ww Kama ubao wa kufundishia

54:1 - Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!

Huu uongo mpaka lini waislam ? Mwezi tangu lini ukapasuka?
 
Kwa hiyo nyie mkipewa hela na silaha kazi yenu inakuwa ni kuuana tu?!
Kwani Joseph Kony wa Uganda na dada yake Alice Lakwena walikuwa waislam na kundi lao tena wamelipa jina la kimungu The lord resistance army.Je unajua vita vya msalaba wewe au Crusade.Ni miaka kadhaa tu papa Paul kabla hajafa aliomba radhi madhambi ya wakristo waliyofanyia dini na madhehebu mengine duniani tatizo mnakariri kuwa waarabu ni wabaya sasa kwa taarifa yako mimi ni mkristo damu damu lakini dini yetu kwa baadhi ya madhehebu siyataji ni wanafiki sana mbele za mungu waislam sio wanafiki
 
Badala ujibu hoja unanishambulia kwa hasira

Mimi nitakutumia ww Kama ubao wa kufundishia

54:1 - Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!

Huu uongo mpaka lini waislam ? Mwezi tangu lini ukapasuka?
Kuna levo ya ujinga mtu akifikia hastaili kujadiliana nae ila ilikuwa jukumu langu kukutaarifu kwamba uzwazwa wako upo Ktk levo ya juu kabisa.Ningekupa darasa la Tafsir kea kila aya au unayoleta kama ungekuwa na dhamiria ya kujua na kuelewa kea vile umehiari kupotosha,upofu ,ujinga na kebehi kanuni inamsema ni wakupuuzwa tu

Kama Qur'an hata vitu vyote vingekuwa vinatafsiriwa kama unavyofanyka kusingekuwa na haja ya walimu notes tu zingetosha kumpa mwanafunzi ajisomee na ingemfaa
 

Attachments

  • 15ee7100f7fd1f38aaad128f0b59ea7b.jpg
    23.6 KB · Views: 9
Wewe ni stone kisser (mbusu jiwe) huwezi jificha , hakuna mkristo anaandika Mungu kwa herufi ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…