Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
-
- #101
Wewe wajiua vema hiyo aya hebu tupe tafsiri yakeWewe ni KOT(Kilaza Of all Time) kwa daraja la ujinga uliofikia ndio maana watu wanakupuuza wanajua wanazungumza na mtu ambaye kichwani hamna kitu.
Qur'an haichambuliwi kama gazeti kama unasoma gazeti ndio maana kuna elimu na vitabu kuhusu Exegesis of Qur'an ili kujua essence of verses kwa hiyo nakushauri jaribu kuficha ujinga wako soma vitabu vya uchambuzi kama Tafsir ya Ibn kathir kabla ya kupost..
Acha kejeli na kudharau dini za watu kwa taarifa yako kama hujui vikundi vyote ivyi vimetengenezwa na Wamarekani ambao nia yao ni kuufuta uislam ni agenda yao inayofuata baada ya kuumaliza ukomunist na kuvunjika kwa dola la Urusi.Elewa Osama Bin Laden alifundishwa ujasusi na Wamarekani na hata Urusi ilipoivamia Afghanistan mwaka 1980 Osama aliingia vitani upande wa Afghanistan kuwafurusha Warusi jambo hili liliwafurahisha sana Wamarekani.
Baadae akagundua hila na ubaya wa Wamarekani dhidi ya Uislam kuwa ni wanafiki ndio akawageuka.Narudia tena hivyi vikundi vinatengenezwa nchini Marekani sasa waislam wenye mawazo mafupi wakipewa silaha wanamalizana wenyewe kwa wenyewe na hapo hapo Mmarekani anapata soko la Silaha zake take care bro usifikirie kwa kukariri
Yule aliyebeba msalaba alikua kavaa moka au air Max!?Nilikuwa sijui, kumbe waarabu ndio wavaa makobazi! Asante shekh.
Hahahahahah...Na mimi ndio nataka nijue hilo jambo🤣🤣🤣🤣 kuna fununu ya jambo, si bure
Vipi na ambao wamechomwa moto na kugeuka majivu.Hiyo Elimu hamna,na huyo mnayemsema vibaya ndiyo aliyetupa hiyo Elimu,tutafufuliwa tukiwa uchi wa mnyama,kutokana na hiyo siku kuwa nzito au ngumu,hakuna mtu atakayekuwa na mda wa kumchungulia mwenzake,awe baba yako dada yako au mkwe wako.Mungu ndiye anayejua zaidi na Mtume wake
vipi kwa mtu aliyekufa na kuliwa na simba .Hiyo Elimu hamna,na huyo mnayemsema vibaya ndiyo aliyetupa hiyo Elimu,tutafufuliwa tukiwa uchi wa mnyama,kutokana na hiyo siku kuwa nzito au ngumu,hakuna mtu atakayekuwa na mda wa kumchungulia mwenzake,awe baba yako dada yako au mkwe wako.Mungu ndiye anayejua zaidi na Mtume wake
Kuna watu mnaamini hili [emoji23]Kama Mungu wako alikufanya uzariwe bila nguo,unategemea atakufufua na hizo suti mnazozikwa nazwa,
la hasha ndugu yangu,utafufuliwa kama ulivyozaliwa,na peponi hakutakuwa na mzee wote watakuwa vijana,na tutaishi kimwili kama mili yetu ya Duniani.
Tutakula na kunywa kama kawaida,na tendo la ndoa litaendelea,kama mkeo utabahatika kuwa nae peponi basi ndoa itaendelea kama kawaida,kunya na kukojoa hakutakuwepo,watu watajisaidia kwa kutoa jasho,Mengine Mungu na Mtume wake ndiyo wanaojua zaidi
kumbe ndio maana ISIS wanajitoa mhanga wakapige doggy style huko mbinguni kwenu.Kama Mungu wako alikufanya uzariwe bila nguo,unategemea atakufufua na hizo suti mnazozikwa nazwa,
la hasha ndugu yangu,utafufuliwa kama ulivyozaliwa,na peponi hakutakuwa na mzee wote watakuwa vijana,na tutaishi kimwili kama mili yetu ya Duniani.
Tutakula na kunywa kama kawaida,na tendo la ndoa litaendelea,kama mkeo utabahatika kuwa nae peponi basi ndoa itaendelea kama kawaida,kunya na kukojoa hakutakuwepo,watu watajisaidia kwa kutoa jasho,Mengine Mungu na Mtume wake ndiyo wanaojua zaidi
Ujinga ni kipajiKama Mungu wako alikufanya uzariwe bila nguo,unategemea atakufufua na hizo suti mnazozikwa nazwa,
la hasha ndugu yangu,utafufuliwa kama ulivyozaliwa,na peponi hakutakuwa na mzee wote watakuwa vijana,na tutaishi kimwili kama mili yetu ya Duniani.
Tutakula na kunywa kama kawaida,na tendo la ndoa litaendelea,kama mkeo utabahatika kuwa nae peponi basi ndoa itaendelea kama kawaida,kunya na kukojoa hakutakuwepo,watu watajisaidia kwa kutoa jasho,Mengine Mungu na Mtume wake ndiyo wanaojua zaidi
Yah ni kweli na dini ya kwanza dunia ni islamKumbe dini ndiko ilikoanzia
Nimesoma mtapewa adi ndizi nimecheka , Muhammad alikuwa anaishi jangwani akaona akiwa promise ndizi ni kitu kikubwa mno,Tutakula na kunywa kama kawaida,
kipaji cha Lionel Messi kabisa
Na kunjunjana [emoji23]Nimesoma mtapewa adi ndizi nimecheka , Muhammad alikuwa anaishi jangwani akaona akiwa promise ndizi ni kitu kikubwa mno,
Koran 56:29 And [banana] trees layered [with fruit]
analeta story za vijiweni.A
Acha Uongo , Joe Biden Ni Mkatoliki
Badala ujibu hoja unanishambulia kwa hasiraWewe ni KOT(Kilaza Of all Time) kwa daraja la ujinga uliofikia ndio maana watu wanakupuuza wanajua wanazungumza na mtu ambaye kichwani hamna kitu.
Qur'an haichambuliwi kama gazeti kama unasoma gazeti ndio maana kuna elimu na vitabu kuhusu Exegesis of Qur'an ili kujua essence of verses kwa hiyo nakushauri jaribu kuficha ujinga wako soma vitabu vya uchambuzi kama Tafsir ya Ibn kathir kabla ya kupost..
Kwani Joseph Kony wa Uganda na dada yake Alice Lakwena walikuwa waislam na kundi lao tena wamelipa jina la kimungu The lord resistance army.Je unajua vita vya msalaba wewe au Crusade.Ni miaka kadhaa tu papa Paul kabla hajafa aliomba radhi madhambi ya wakristo waliyofanyia dini na madhehebu mengine duniani tatizo mnakariri kuwa waarabu ni wabaya sasa kwa taarifa yako mimi ni mkristo damu damu lakini dini yetu kwa baadhi ya madhehebu siyataji ni wanafiki sana mbele za mungu waislam sio wanafikiKwa hiyo nyie mkipewa hela na silaha kazi yenu inakuwa ni kuuana tu?!
Kuna levo ya ujinga mtu akifikia hastaili kujadiliana nae ila ilikuwa jukumu langu kukutaarifu kwamba uzwazwa wako upo Ktk levo ya juu kabisa.Ningekupa darasa la Tafsir kea kila aya au unayoleta kama ungekuwa na dhamiria ya kujua na kuelewa kea vile umehiari kupotosha,upofu ,ujinga na kebehi kanuni inamsema ni wakupuuzwa tuBadala ujibu hoja unanishambulia kwa hasira
Mimi nitakutumia ww Kama ubao wa kufundishia
54:1 - Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
Huu uongo mpaka lini waislam ? Mwezi tangu lini ukapasuka?
Wewe ni stone kisser (mbusu jiwe) huwezi jificha , hakuna mkristo anaandika Mungu kwa herufi ndogoKwani Joseph Kony wa Uganda na dada yake Alice Lakwena walikuwa waislam na kundi lao tena wamelipa jina la kimungu The lord resistance army.Je unajua vita vya msalaba wewe au Crusade.Ni miaka kadhaa tu papa Paul kabla hajafa aliomba radhi madhambi ya wakristo waliyofanyia dini na madhehebu mengine duniani tatizo mnakariri kuwa waarabu ni wabaya sasa kwa taarifa yako mimi ni mkristo damu damu lakini dini yetu kwa baadhi ya madhehebu siyataji ni wanafiki sana mbele za mungu waislam sio wanafiki