Atapewa 71 sababu Mkewe wa duniani atakuwa naye so jumla 72.Shekh, ongezea nna ile ya kila mwanaume kupewa wanawake 72; wote mabikira. Watu hawajui tu....
bro mbona hicho kitu kidogo tu naweza andika herufi ndogo lakini moyoni kwangu ana herufi kubwa ni makosa ya kiuandishi tuWewe ni stone kisser (mbusu jiwe) huwezi jificha , hakuna mkristo anaandika Mungu kwa herufi ndogo
Na kumbuka kuwa Katika Lugha mama ya biblia yaani Kuhebrew hakuna herfi yenye Capital letter herufi zote ni sawa katika kiebrania (nenda kasome kiebrania) Kwahyo swala la kuandika herfi kubwa mwanzoni kwenye Mungu wala Lord ni swala lililoletwa na watafsiri wa Lugha ya kiingereza and not even A greek or latin have capital letter on its alphabet so Anachokisema ni sheria na Mawazo ya Gramar kutoka kwa watafsiri wa Lugha ambayo hapo zaman hayakuwwpobro mbona hicho kitu kidogo tu naweza andika herufi ndogo lakini moyoni kwangu ana herufi kubwa ni makosa ya kiuandishi tu
vipi kwa mtu aliyekufa na kuliwa na simba .
atafufuliwaje akiwa uchi.?
Naona watu hamsomi bibleKusimamishwa uchi tena mzee ๐ณ๐ณ? Haya ni maarifa mapya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!
Mwendelezo wa Ishmael upo kwa waislam
Dah mwanzo uliposema we Ulikuwa "Mwislamu" nilitaka kukuamini lakini kadri unavyochangia unanitia mashaka sana Kama Kweli uislamu unaujua sisimami upande wowote ila naonyesha iliyokweli pande zote mbiliHawana ,wanabumbabumba kwa kuokoteza kutoka biblia
Hawawez kukupa vizazi vya ishameli, wala kukuelezea waarabu wanapatikanaje kupitia ishamel
Pia hawawez kukuambia Muhammad anatokea ukoo gan au kwa mtoto gan wa ishamel
Lakin ukija kwa Isaka ,unaupata ukoo wake wote , ukitaka kujua kizazi Cha Yesu unakipata kupitia Isaka kwa mtiririko wote,
Na declare tena Sipo upande wowote ila kwa kielimu cha dini zote mbili nilikojitafutia kwa miaka zaidi ya mitano naweza kujibu...."Pia hawawez kukuambia Muhammad anatokea ukoo gan au kwa mtoto gan wa ishamel"
Waislam Bwana imani yao ni kutishana tupu! Mara funza Mara kusimamishwa uchi! Yaani imani yao iko kimwili sana wala hapo kiroho!Kusimamishwa uchi tena mzee ๐ณ๐ณ? Haya ni maarifa mapya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!
This is not about muslim this is about God's Revelation Bro sambuluguWaislam Bwana imani yao ni kutishana tupu! Mara funza Mara kusimamishwa uchi! Yaani imani yao iko kimwili sana wala hapo kiroho!
Ndo maana huwa wanaoamini mtu akifa kuna malaika huwa nakuja kumhoji!
Sema haki ya Mungu. Mimi si muumini wa dini yoyote lakini hii ahadi ya Allah Kama Ina nishawishi hivAtapewa 71 sababu Mkewe wa duniani atakuwa naye so jumla 72.
Kumbuka wote watakuwa katika hali ya Ubikira na Mke wa awali ndie atakuwa kiongozi wa wanawake hao wengine wa peponi.
Na Allah anajua zaidi