Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Bado tupo kwenye upembuzi yakinifu, vuta subira. Maendeleo hayaji haraka.hehhehe hivi ule mpango wenu wa kuigeuza bikoba kuwa dubai umefikia wapi? naomba updates plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tupo kwenye upembuzi yakinifu, vuta subira. Maendeleo hayaji haraka.hehhehe hivi ule mpango wenu wa kuigeuza bikoba kuwa dubai umefikia wapi? naomba updates plz
Huyo malizi bora afunge virago sioni anachofanyaTatizo la nyie watani wangu, mna mbwembwe na mipango miiiiingi sana, mwisho wa siku hamna kitu.
Muoneni mwenzenu Malinzi hadi anagombea uenyekiti wa mkoa wakati ana uenyekiti wa kitaifa, ambao unamtoa jasho - sifahamu anataka kujifunza mchangani.
Halafu hivyo vitu sijui ahadi za kufuatilia hapo/ vipau mbele mlivyoweka hapo naona ni vya kitoto sana, ambavyo mhaya mmoja tu angevishughulia na nyie mngebaki mnashughulikia mambo mazito.
Haya reserved.
Huo sio msaada tena mkuu kwasababu msaada huwa na maana pale unapokidhi maana haswa ya msaada (ajuna akanyonyi akajuna kakyahalala)Misaada ya waathirika wa tetemeko imeishiwa wapi? Naona muda unayoyoma hakuna suala la kueleweka.
Ishami ni high in proteins, use it.Inatakiwa pia mpango wa kuondoa/ kuangamiza eishami; ni kero nyingine Bukoba
Naam, ujenzi wa soko hili ukitekelezwa na kukamilika utakuwa wa tija sana kwa maendeleo ya kata hii ya Kashai. Mungu atuongoze kutekeleza![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwonekano wa soko la Kashai leo 10-10-2016. Ujenzi wa Soko hili ni moja kati ya vipaumbele vya "Tushirikishane"
Kashai ni kata yenye mitaa mingi kuliko kata nyingine zote, mitaa tisa (9). Lakini pia ni kata ambayo ina wakazi wengi zaidi katika manispaa ya Bukoba. Na soko la Kashai ndio soko linalofuatia kwa kuhudumia watu wengi wa BM baada ya Soko Kuu
Lijengwe na kuboreshwa Soko Kuu ndo ilo la kashai liboreshwe, haiwezekani kuacha soko linatoa huduma karibu ya kila kitu tukimbilie la Kashai wanalouza samaki,ndizi,viazi na mihogo.Naam, ujenzi wa soko hili ukitekelezwa na kukamilika utakuwa wa tija sana kwa maendeleo ya kata hii ya Kashai. Mungu atuongoze kutekeleza
Baadhi ya mambo yaliyoko nje ya mradi lakini ni ya faraja sana kwa watu wa BMC ni ujenzi wa barabara ya mafumbo kwa kiwango cha rami (picha hapo juu). Barabara hii ilikua kero ya muda mrefu kutokana na kuwa na mashimo mengi hivyo kupitika kwa shida, lakini kwa sasa ni shangwe kwa wakazi wote wa ukanda huo......wanatereza tu[emoji28]. Hongera sana kwa uongozi wa BMC
Ndiyo ndugu OmbaraHii ndio inaelekea Mafumbo na Kahororo? Kama ndio yenyewe basi shukrani sana maana hii ilikuwa ni aibu sana.
Ujenzi wa soko kuu, soko la Kashai na stand ya mabasi utafanyika kwa pamoja na hiki ni kipaumbele namba moja katika "Tushirikishane Bukoba"Lijengwe na kuboreshwa Soko Kuu ndo ilo la kashai liboreshwe, haiwezekani kuacha soko linatoa huduma karibu ya kila kitu tukimbilie la Kashai wanalouza samaki,ndizi,viazi na mihogo.
Hivi mbunge wangu bado yuko Bukoba au kasharudi KWAKE Kimara?