TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Tumesubiri sana ujue tangu 2012 kumbuka mi nitafurahi tutakapoacha kutumia stendi ya matope
Kweli mkuu ile stend inatutia aibu ila naona hata viongozi wetu hawako open kwenye hili swala kusema nini kinaendelea but tuone kufikia January mwakani nini kitakuwa kimefanyika
 
Mlioko site hiyo stand ishaanza kujengwa?
Yah ilishaanza kujengwa picha hizi hapa hiyo ilikuwa jumatatu wameanza kujenga kituo cha polisi na choo lakini na eneo linaparuliwa
fde0d891ab352c0cd7fc7f6fd858b342.jpg
e827cb07f075c3bec61856f7c1d6a398.jpg
f61da3dac0ea832ad5057a8b9be74d53.jpg
36ff12c34efd3a5b61a754353cc6f773.jpg
67d3beb0cb722e5ae52f76449534b11b.jpg
e10f84184617a65b42a42ccb0bf6f404.jpg
13b78f9107e2f11022aebca4060e1284.jpg
f7e0fa12f192e8aa50fc9384c5c39fc3.jpg
fb1a9a6a57af63ca828fa143ba6e2973.jpg
 
Inasemekana first phase itamalizika mwezi march yaani floor ya chini,kituo cha polisi,na choo floor ni ya lami na sio matope .na michoro ni ileile ya 2012
Safi wengine tumeshindwa kutoka huku mikoani but tuna hamu ya kujua kinachoendelea huko maana kwetu tunapapenda
 
Napenda watu wazalendo kama wewe penda vyako kwanza.na soko utaratibu wa kulijenga unaendelea watu wamepewa mda kuhama hiyo ndiye rwakatale bwana
Endelea kutuhabarisha mkuu, hiki ni kilio cha masiku mengi sana
 
JF uongozi,ingependeza Zaidi kutafuta wakilishi wa mikoa mingine,kama mlivyofanya kwa Bukoba,watu wa mikoa mingine wakishirikishwa JF itawafikia wanajamii wengi Zaidi,msiwe kama Sizonje yeye kila kitu anapeleka Mwanza.
 
Ujio wa stand mpya na ujenzi wa meli vinatakiwa kuwasmsha uongozi wa msnispaa kuanza kupanua barabara za custom na ile ya kwenda kyakailabwa kutokea kibeta/rwamishenye ziwe za njia nne kwani naamini magari yataongezeka sana hapo mjini. Watu wa Tanroads ni bora wakaliona hili mapema pasipo kusubiri yatukute
 
Ujio wa stand mpya na ujenzi wa meli vinatakiwa kuwasmsha uongozi wa msnispaa kuanza kupanua barabara za custom na ile ya kwenda kyakailabwa kutokea kibeta/rwamishenye ziwe za njia nne kwani naamini magari yataongezeka sana hapo mjini. Watu wa Tanroads ni bora wakaliona hili mapema pasipo kusubiri yatukute
Ni kweli lakini hata daladala za kutoka stend kwenda mjin na maeneo mengine ndan ya manispaa vinginevyo itakuwa adhabu kwa wananchi
 
Ujio wa stand mpya na ujenzi wa meli vinatakiwa kuwasmsha uongozi wa msnispaa kuanza kupanua barabara za custom na ile ya kwenda kyakailabwa kutokea kibeta/rwamishenye ziwe za njia nne kwani naamini magari yataongezeka sana hapo mjini. Watu wa Tanroads ni bora wakaliona hili mapema pasipo kusubiri yatukute
Baati nzr barabara hiyo inapanuliwa ndo maana walivunja nyumba rwamishenye na upanuzi unafanywa hamugembe ikiwemo uwekaji wa taa na hilo limeshamalizwa hmgembe
 
Baati nzr barabara hiyo inapanuliwa ndo maana walivunja nyumba rwamishenye na upanuzi unafanywa hamugembe ikiwemo uwekaji wa taa na hilo limeshamalizwa hmgembe
Wadau mnaonaje tulipigie kelele swala la daladala kwa sababu wananchi wanaghalimika kutumia pikipiki na bajaji wanapotaka kwenda maeneo ya mbali ndan ya manispaa
 
Back
Top Bottom