Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiongozi pengine tuwekane sawa tu katika suala la madawa, dawa zote zinazoletwa na serikali ziende katika vituo vya afya zina alama zake si mpaka uwe mtaalam ndio uweze tofautisha hata wewe ukielekezwa tu utajua alama ya MSD huwa ipo hiyo moja,Thread #88 ina Changamoto.Utajuaje kuna wizi wa Dawa za serikali?Nami katika wale waliokwenda Dukani ana utaalam wa kuzitofautisha dawa za umma na zile za kibiashara?
Alafu kama Mbunge anatoa Pesa za Umeme kwa Sungusungu,accounting yake inakuwaje?Kwa Nini zisiingie kwenye Mfumo rasmi?Ndani Zahanati ina account benki,Halmashauri ina account pia--haamini mfumo?
Miye nauliza tu hayo marekebisho yenu ya mashine za maji bado tu haziajakamika tunaitaji maji jamani Siku ya pili leo mji wote wa nzega hatuna maji
Mara nyingi mifumo rasmi ya Serikali ina gharama kubwa kitu cha Tsh 1 kinakuwa mara mbili ama tatu ya gharama halisi.Thread #88 ina Changamoto.Utajuaje kuna wizi wa Dawa za serikali?Nami katika wale waliokwenda Dukani ana utaalam wa kuzitofautisha dawa za umma na zile za kibiashara?
Alafu kama Mbunge anatoa Pesa za Umeme kwa Sungusungu,accounting yake inakuwaje?Kwa Nini zisiingie kwenye Mfumo rasmi?Ndani Zahanati ina account benki,Halmashauri ina account pia--haamini mfumo?