TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

Kazi nzuri maendeleo yanaonekana kwanza hatua ya kulitengeneza tenki la maji pakingi, vile vile kutengeneza machujio ya maji kiukweli japo mgao haueleweki ila maji ni masafi kwa sasa tofauti na mwanzoni maji yalikuwa si masafi kama sasa vile vile mheshimiwa mbunge vip kuhusu bima za afya kila Kaya ulizotuahidi mda wa kampeni
 
IMG-20161117-WA0018.jpg
huu ni uchimbaji wa kisima cha maji katika kituo cha Afya kilichopo katika kata ya Mbogwe, ikiwa ni hatua ya kutatua changamoto ambayo ilikuwepo katika kituo hichi tangu kijengwe zaidi ya miaka arobaini, pamoja na kuwa kituo hiki kinatoa na huduma za uzazi wakina mama wajawazito hujifungulia hapo,lakini mda wote huo kituo hiki kilikuwa hakina kisima chochote cha maji safi na salama

Kisima hiki kinachibwa ikiwa ni jitihada za Mh Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe Hussein Bashe kwa kushirikiana na halmashauri ya mji nzega.
 
kituo cha afya kipo zaidi ya miaka arobaini kulikuwa hakina kisima cha maji, hivi seleli, na Kigwangala walikuwa wa nafanya nini nzega inabidi tuwadai, maana mgodi tulikuwa nao ila maji shida, barabara za mitaani shida ukiwa uwanja wa mpira samora ndio kabisa bashe kamimisha yote usisahau na uwanja nzega hatuna kiwanja cha mpira kizuri
 
Nazi embe, sagara sagara, majembe majembe mna maoni gani kuhusu utekelezaji wa Mipango kazi yetu kwa ujumla mpakasasa
 
Bwana Josephat sanga, maendeleo si mabaya sana Kwani tarifa unazotupa hapa na hali harisi iliyopo katika hiyo miradi vina uhalisia mfano suala la maji katika kipindi cha wiki moja sasa mabadiliko yameanza kuonekana maji yanayotoka kwa ratiba husika na yamekuwa masafi kuhusu kituo cha mabasi kiukweli sijafika ila tarifa ninazoziona hapa na ninazosikia kwa watu zinaendana kwaiyo muongeze juhudi tu ili muweze kamilisha mipango yenu kwa wakati
 
Mda huu sipo nzega, nikirudi tajitahidi kuangalia maendeleo kisha takwambia haswa haswa suala la maji lazima nifuatilie nijue ukweli wa aliyosema nazi embe hapo.
 
Nimesikia umeme na nguzo zinaendelea kuwekwa maeneo mengi, hii ni kazi nzuri sana kwa TANESCO na halmashauri pia, ila barabara nazo ziwekwe kwa kasi ile ile umeme na nguzo zinavyowekwa. Hali hii ikiendelea uchumi utakuwa.
 
Afisa habari vipi mbona kimya mradi upo likizo maana hakuna habari yoyote kuhusu maendeleo ya miradi wiki sasa ya pili kipi kimetokea tupeni tarifa jamani
 
Afisa habari vipi mbona kimya mradi upo likizo maana hakuna habari yoyote kuhusu maendeleo ya miradi wiki sasa ya pili kipi kimetokea tupeni tarifa jamani
Nazi embe nipo na mipango kazi yetu utekelezaji wake inaendelea matatizo ya kitekonolojia ndio yana sababisha kuona hakuna mirejesho ya mipango kazi yetu ila mambo yakikaa sawa basi utaona mrejesho yetu kama awali kupitia habari picha, nk
 
Afisa habari umepotelea wapi tunaitaji kujua maendeleo ya jimboni kwetu kimya hatujui chochote ebu njoo utupe habari
 
Hawa watu huwa sielewi in kwanini walilaunch mambo ambayo hawakuwa genuine kuyatekeleza, unageuka kuwa ubabaiahaji
 
Kweli kabisa sagara sagara afisa habari wetu ambaye utendaji kazi wake kiujumla nilikuwa naukubali kwa asilimia tisini kapotea yupo kimya, jamani jamii Forum kama afisa habari wa nzega mmemtumbua tunaomba mturudishie jamaa alikuwa yupo vizuri sana ikiwa kulikuwa na matatizo basi msameheni maana siyo kawaida yake kukaa kimya mda wote huu utendaji kazi wake tulikuwa tunauona hapa mpaka mimi kushawishika kufungua hii account ajira ya huu mjadala tu kwani nzega ni kwetu
 
Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
 
Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
Wadau wangu miye nipo poleni kwa kutopata tarifa kwa wakati ila mda si mrefu tutaendelea na tarifa zetu ni masuala ya kiutendaji tu yalingiliana ili kuweka mambo sawa ndio maaana mnaona kimya ila kiufupi miradi inaendelea vizuri, asanteni kwa mchango yenu.
 
Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
Kutumbuliwa tena mkuu!
 
Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
Kutumbuliwa tena mkuu! ndo hivyo lakini make tushakubali kuolewa sharti kuvua c.h.u.p.i
 
Mi nafikiri Mbunge na timu yako mnakwenda vizuri tu bado, kama kuna mambo hayajakaa vizuri, basi hapa Mbunge ndiyo nafasi yako kujimwaga uwanjani na kuweka mambo sawa. Maono yenu ni makubwa na tuna imani na timu nzima na uongozi wa wilaya ingawa mambo ya serikalini huwa na misukosuko sana. Nafikiri uongozi wa wilaya na halmashauri ya mji upo pamoja katika kujenga Nzega mpya. Tunahitaji na tuna hamu ya maendeleo ambayo wadau wameainisha.
 
Back
Top Bottom