Gideon Anyona
Senior Member
- Jun 28, 2014
- 108
- 58
Umeona kichwa cha habari ya hii taarifa lakini mkuu?Umeandika vizuri mkuu ila kuna shirika moja World Vision limejitoa sana ktk wilaya hyo kutoa michango ya maendeleo ya jamii,nimejisikia vibaya kutoona hata umelitaja kwa uchache.au mashirika binafsi ni mwiko kuyasifia?wapeni na wao hongera zao mkuu!
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app